Biashara ya vitenge ni black Diamond!?

Biashara ya vitenge ni black Diamond!?

Kuna mikondo ya pesa wengi wetu hapa tunaisotea kwa udi na kwa uvumba! Wengine wanaroga kabisa ili waweze kuikamata. Kuna mitandao haramu ya biashara yenye faida za kufuru madini yanasubiri!

Vitenge biashara iliyohitaji elimu kubwa na uwekezaji wa wataalam ni biashara kubwa yenye mitandao ya kutisha inaguka kuwa biashara haramu sasa.. Maana watu wameshanogewa lakini mamlaka nazo sasa ndio zinakumbuka shuka asubuhi kukiwa kumeshapambazuka

Kuna nguvu ya kimamlaka inajaribu kuuvunja huu mtandao lakini bila kujitoa na kuongeza nguvu kubwa hawatafika popote. Watakamata vidagaa tuu na pumzi itakata
Ona hii magazijuto Kisha jiongeze!

Mwanamama kakamatwa Dodoma na mamlaka ya mapato kwa kosa la kutodai risiti ya mzigo wa vitenge alivyonunua .. Anashtakiwa kwa makosa mawili
1. Kutodai risiti
2. Kutotoa ushirikiano kwa maofisa alipotakiwa kuonesha mahali aliponunua mzigo

Huyu ni mbuzi wa kafara tuu... Hiyo mizigo wanaipata kimagumashi.. Mitandao ndio inafanya kazi..hakuna vituo rasmi ni kupeana juu kwa ju!

Siku mbili nyuma zimekamatwa gari na mzigo mkubwa wa vitenge mkoani lindi.. Mzigo haukuwa na nyaraka na ikasadikika ni mzigo wa magendo.. Mikwara mingi sana ikapigwa!

Mwezi uliopita zilikamwata container zenye mzigo wa kutosha wa vitenge .. Mzigo uliandikwa ni mashuka yako transit kumbe ni vitenge vinaenda kushushwa Tabata na wakahusishwa wazito hasa wakubwa

Tengeneza hilo picha la pyramid kuanzia Dar, Lindi mpaka Dom uone namna huo mtandao ulivyo mkubwa!

Je vijana wenye uchungu na nchi yao wanaojaribu kujitolea mustakali wao wauvunje huu mtandao wa biashara haramu ya vitenge watafanikiwa?
Mshana Jr at his best
 
kaka mkubwa
20221225_230726.jpg
 
Natamani nianze kufanya biashara ya vitenge . age is just a numbers.

Niliona mzigo ulikamatwa somewhere kama Tanga hivi, niliwaza sana.

Mwanamama kuwa na mzigo mkubwa vile, japo yawezekana pia kuwa wapo wa huko mbele ndo wenye mzigo.

Let's do that japo nitaanza kidogo kidogo tu
Inabidi uwe na watu nyuma yako wa kukukingia kifua TRA wakikudaka
 
Hii nchi watalipa kodi masikini tu ila matajiri na viongozi chini ya bibi ushungi nchi wameshaitia mfukoni.
Lakini takwimu zinaonyesha Tanzania ni ya nne kwa mapato makubwa baada ya COVID 19,mwendo sio mbaya hebu tujikubali kiasi
 
Natamani nianze kufanya biashara ya vitenge . age is just a numbers.

Niliona mzigo ulikamatwa somewhere kama Tanga hivi, niliwaza sana.

Mwanamama kuwa na mzigo mkubwa vile, japo yawezekana pia kuwa wapo wa huko mbele ndo wenye mzigo.

Let's do that japo nitaanza kidogo kidogo tu

Hizo biashara wamefanya 20yrs back leo ndo wanaonekana
 
Kuna mikondo ya pesa wengi wetu hapa tunaisotea kwa udi na kwa uvumba! Wengine wanaroga kabisa ili waweze kuikamata. Kuna mitandao haramu ya biashara yenye faida za kufuru madini yanasubiri!

Vitenge biashara iliyohitaji elimu kubwa na uwekezaji wa wataalam ni biashara kubwa yenye mitandao ya kutisha inaguka kuwa biashara haramu sasa.. Maana watu wameshanogewa lakini mamlaka nazo sasa ndio zinakumbuka shuka asubuhi kukiwa kumeshapambazuka

Kuna nguvu ya kimamlaka inajaribu kuuvunja huu mtandao lakini bila kujitoa na kuongeza nguvu kubwa hawatafika popote. Watakamata vidagaa tuu na pumzi itakata
Ona hii magazijuto Kisha jiongeze!

Mwanamama kakamatwa Dodoma na mamlaka ya mapato kwa kosa la kutodai risiti ya mzigo wa vitenge alivyonunua .. Anashtakiwa kwa makosa mawili
1. Kutodai risiti
2. Kutotoa ushirikiano kwa maofisa alipotakiwa kuonesha mahali aliponunua mzigo

Huyu ni mbuzi wa kafara tuu... Hiyo mizigo wanaipata kimagumashi.. Mitandao ndio inafanya kazi..hakuna vituo rasmi ni kupeana juu kwa ju!

Siku mbili nyuma zimekamatwa gari na mzigo mkubwa wa vitenge mkoani lindi.. Mzigo haukuwa na nyaraka na ikasadikika ni mzigo wa magendo.. Mikwara mingi sana ikapigwa!

Mwezi uliopita zilikamwata container zenye mzigo wa kutosha wa vitenge .. Mzigo uliandikwa ni mashuka yako transit kumbe ni vitenge vinaenda kushushwa Tabata na wakahusishwa wazito hasa wakubwa

Tengeneza hilo picha la pyramid kuanzia Dar, Lindi mpaka Dom uone namna huo mtandao ulivyo mkubwa!

Je vijana wenye uchungu na nchi yao wanaojaribu kujitolea mustakali wao wauvunje huu mtandao wa biashara haramu ya vitenge watafanikiwa?
Hadi mzigo unavyoingia kutokea Congo
 
Kuna mtu anataka tupige hizi mishe za vitenge kwa kufaulisha mzigo kidogo kidogo! Af sio mbali ni distance ya 15 kms tu ila hela ni ndefu!! Nachohofia pick up yangu nnavyoipenda,siku ikidakwa si wanaweza kuitaifisha? Daah mtihani huu na hela ipo nje nje yani!! Nimemwambia ngoja mwaka uishe niendelee kutafakari whether nijilipue au nikaushe tu!! Dooh
 
Kuna mtu anataka tupige hizi mishe za vitenge kwa kufaulisha mzigo kidogo kidogo! Af sio mbali ni distance ya 15 kms tu ila hela ni ndefu!! Nachohofia pick up yangu nnavyoipenda,siku ikidakwa si wanaweza kuitaifisha? Daah mtihani huu na hela ipo nje nje yani!! Nimemwambia ngoja mwaka uishe niendelee kutafakari whether nijilipue au nikaushe tu!! Dooh
Wakiidaka anua tanga
 
Back
Top Bottom