Biashara ya vitenge ni black Diamond!?

Biashara ya vitenge ni black Diamond!?

Kuna wafanya biashara wakubwa hapa Tanzania. Na kuna wanaowafanyia biashara hawa wakubwa.
Asilimia kubwa ya wenye maduka hata Kariakoo ni wahangaikaji. Wanapewa mzigo na waagizaji wakubwa bila ya kupewa risiti. Mpango wa kuuza na taratibu za kodi wapambane kwa akili yao. Kama unataka risiti hupewi mzigo.
Hawa wadogo hawawezi kuagiza na kushindana bei na waagizaji wakubwa. Matokeo yake wanawafanyia kazi matajiri wakubwa huku wakijitahidi misingi isikate.
 
Kama ulikua hujui Basi wewe bado chaliitu.kuwa kwanza.haya mambo kawaida sana ujanja ujanja unahitajika sana.ukifata Sheria utabaki naumaskini wako
 
Mama bonge! Mtani vingine viache tu vipite maana vina kina kirefu kama utupu wa mwembamba
Mama bonge, ni husler nakumbuka miaka ile ya 90.mumewe alikua mbeba mizgo kwa guta pale TAZARA, alidunduliza pesa akapgana na mahindi akisomba na punda. Leo hii wavivu bila kutafakari hustling ya Mtu wanamkejeli kwa maneno ya fyoko. Pesa hazifuati mtu mvivu, bali mpganaji. Kama amepgana mpaka wanamwonea gele. Wenye wivu Wafie mbele!!
 
Tanzania ukitaka watu walipe kodi kwa moyo we weka magari ya kubebea wanafunzi ya bure! yapite kila mtaa haijalishi ni wapi halafuu yaandike lipa kodi tusome!

ukijenga barabara ziandike hii no kodi yetu! ukienda hospitali kusiwe na ubaguz tena na dawa ziwepo,! utakuja kunishukuru
Wakifanya hivyo hata kodi iwe 30% hakuna wakulalamika
 
Mama bonge, ni husler nakumbuka miaka ile ya 90.mumewe alikua mbeba mizgo kwa guta pale TAZARA, alidunduliza pesa akapgana na mahindi akisomba na punda. Leo hii wavivu bila kutafakari hustling ya Mtu wanamkejeli kwa maneno ya fyoko. Pesa hazifuati mtu mvivu, bali mpganaji. Kama amepgana mpaka wanamwonea gele. Wenye wivu Wafie mbele!!
Mkuu tupiako basi kapicha kake mama bonge. Nasikia ni white halafu kafungasha mzigo wa hatariiii nyuma.
 
Kama ulikua hujui Basi wewe bado chaliitu.kuwa kwanza.haya mambo kawaida sana ujanja ujanja unahitajika sana.ukifata Sheria utabaki naumaskini wako
Asante nikiwa mkubwa nitafanya hivyo
 
Mama bonge, ni husler nakumbuka miaka ile ya 90.mumewe alikua mbeba mizgo kwa guta pale TAZARA, alidunduliza pesa akapgana na mahindi akisomba na punda. Leo hii wavivu bila kutafakari hustling ya Mtu wanamkejeli kwa maneno ya fyoko. Pesa hazifuati mtu mvivu, bali mpganaji. Kama amepgana mpaka wanamwonea gele. Wenye wivu Wafie mbele!!
Juhudi na kismati pia! Nyota ya jaha
 
Vitenge ni pasua kichwa hasa pale kariakoo kuna mtandao mkubwa sana unahusisha mpaka viongozi ndo importer wakubwa. Hawa TRA ni watoto wadogo sana wakitaka tuwape info na taarifa sahihi waache tabia zao za unyanyapaa. Sio vitenge tu mpaka nguo, mashuka na mapazia kodi hazilipwi kuanzia kule bandarini. Karikaoo ishakua ni black market tayari embu imagine TRA kariakoo kwa mwezi makusanyo ya kodi hayazidi billion 15 ni aibu ukizingatia KARIAKOO ndiyo kitovu cha biashara Africa mashariki kwa mwezi pekee Makusanyo ilibidi yawe hata bill100 na zaidi.
Mkuu tukupe u maneger wa kanda ya kikodi ya k.koo ukusanye hyo mil 100....?ukishindwa tukufanyeje?chagua mwenyewe adhabu
 
Kuna mikondo ya pesa wengi wetu hapa tunaisotea kwa udi na kwa uvumba! Wengine wanaroga kabisa ili waweze kuikamata. Kuna mitandao haramu ya biashara yenye faida za kufuru madini yanasubiri!

Vitenge biashara iliyohitaji elimu kubwa na uwekezaji wa wataalam ni biashara kubwa yenye mitandao ya kutisha inaguka kuwa biashara haramu sasa.. Maana watu wameshanogewa lakini mamlaka nazo sasa ndio zinakumbuka shuka asubuhi kukiwa kumeshapambazuka

Kuna nguvu ya kimamlaka inajaribu kuuvunja huu mtandao lakini bila kujitoa na kuongeza nguvu kubwa hawatafika popote. Watakamata vidagaa tuu na pumzi itakata
Ona hii magazijuto Kisha jiongeze!

Mwanamama kakamatwa Dodoma na mamlaka ya mapato kwa kosa la kutodai risiti ya mzigo wa vitenge alivyonunua .. Anashtakiwa kwa makosa mawili
1. Kutodai risiti
2. Kutotoa ushirikiano kwa maofisa alipotakiwa kuonesha mahali aliponunua mzigo

Huyu ni mbuzi wa kafara tuu... Hiyo mizigo wanaipata kimagumashi.. Mitandao ndio inafanya kazi..hakuna vituo rasmi ni kupeana juu kwa ju!

Siku mbili nyuma zimekamatwa gari na mzigo mkubwa wa vitenge mkoani lindi.. Mzigo haukuwa na nyaraka na ikasadikika ni mzigo wa magendo.. Mikwara mingi sana ikapigwa!

Mwezi uliopita zilikamwata container zenye mzigo wa kutosha wa vitenge .. Mzigo uliandikwa ni mashuka yako transit kumbe ni vitenge vinaenda kushushwa Tabata na wakahusishwa wazito hasa wakubwa

Tengeneza hilo picha la pyramid kuanzia Dar, Lindi mpaka Dom uone namna huo mtandao ulivyo mkubwa!

Je vijana wenye uchungu na nchi yao wanaojaribu kujitolea mustakali wao wauvunje huu mtandao wa biashara haramu ya vitenge watafanikiwa?
Aulizwe Katele
 
Kitenge nimeiweka kwenye kundi la biashara ya vipodozi kama vile haramu fulani kupoteza hela ni sekunde tuu na kupasua ni sekunde tuu pana kipindi vijana wa Kariakoo walioshika hilo soko walifikia hadi kuuana na wengine walikua wanatunza hela tuu mpaka 300m kwa ajili ya kununua hapo hapo bandarini pana mshkaji hizi kazi za kimafya anaziweza ila alipofatilia hiyo ishu aliachana nayo majibu aliyonipa akasema haina tofauti na Sembe ya Pakistani tuu..kodi yake ni kubwa na kuchomana ni nje nje ili polisi wakimata mzigo uuzwe juu kwa juu...
 
wauzaji wakubwa wa vitenge k/koo ni primi mushi na salome mgaya mama bonge hawa watu ni hatari na nusu mizingo haishikwi ovyo
 
Back
Top Bottom