Noma sana!Mama bonge! Mtani vingine viache tu vipite maana vina kina kirefu kama utupu wa mwembamba
Mama bonge, ni husler nakumbuka miaka ile ya 90.mumewe alikua mbeba mizgo kwa guta pale TAZARA, alidunduliza pesa akapgana na mahindi akisomba na punda. Leo hii wavivu bila kutafakari hustling ya Mtu wanamkejeli kwa maneno ya fyoko. Pesa hazifuati mtu mvivu, bali mpganaji. Kama amepgana mpaka wanamwonea gele. Wenye wivu Wafie mbele!!Mama bonge! Mtani vingine viache tu vipite maana vina kina kirefu kama utupu wa mwembamba
Leo umeandika kitu cha maana sana!Nilishawahi andika humu hii nchi inakanchi kadogo ndani yake.. hako kanchi kadogo ndio Katamu zaidi..![]()
Tulia weweeeKama ulikua hujui Basi wewe bado chaliitu.kuwa kwanza.haya mambo kawaida sana ujanja ujanja unahitajika sana.ukifata Sheria utabaki naumaskini wako
Wakifanya hivyo hata kodi iwe 30% hakuna wakulalamikaTanzania ukitaka watu walipe kodi kwa moyo we weka magari ya kubebea wanafunzi ya bure! yapite kila mtaa haijalishi ni wapi halafuu yaandike lipa kodi tusome!
ukijenga barabara ziandike hii no kodi yetu! ukienda hospitali kusiwe na ubaguz tena na dawa ziwepo,! utakuja kunishukuru
Mkuu tupiako basi kapicha kake mama bonge. Nasikia ni white halafu kafungasha mzigo wa hatariiii nyuma.Mama bonge, ni husler nakumbuka miaka ile ya 90.mumewe alikua mbeba mizgo kwa guta pale TAZARA, alidunduliza pesa akapgana na mahindi akisomba na punda. Leo hii wavivu bila kutafakari hustling ya Mtu wanamkejeli kwa maneno ya fyoko. Pesa hazifuati mtu mvivu, bali mpganaji. Kama amepgana mpaka wanamwonea gele. Wenye wivu Wafie mbele!!
Tanganyika tunaelekea walipo kenya, ni swala la muda tuuRest in peace long time agooo.. Walishagawana mbao..sasa hivi kimegeuzwa ma godown ya wachina
Hivi Kongo hakuna vitenge tena siku hizi..?Kama kuna kiwanda cha wazawa cha vitenge ni jambo jema sana. Haiingii akilini kila mwanamke wa Africa anavaa vitenge. Na karibu wote wananunua vitenge vipya halafu tuwe tunaagizq toka China NK.
Ahhh mkubwa umeuaa kama njia ile nyembambaMama bonge! Mtani vingine viache tu vipite maana vina kina kirefu kama utupu wa mwembamba



Juhudi na kismati pia! Nyota ya jahaMama bonge, ni husler nakumbuka miaka ile ya 90.mumewe alikua mbeba mizgo kwa guta pale TAZARA, alidunduliza pesa akapgana na mahindi akisomba na punda. Leo hii wavivu bila kutafakari hustling ya Mtu wanamkejeli kwa maneno ya fyoko. Pesa hazifuati mtu mvivu, bali mpganaji. Kama amepgana mpaka wanamwonea gele. Wenye wivu Wafie mbele!!
Mkuu tukupe u maneger wa kanda ya kikodi ya k.koo ukusanye hyo mil 100....?ukishindwa tukufanyeje?chagua mwenyewe adhabuVitenge ni pasua kichwa hasa pale kariakoo kuna mtandao mkubwa sana unahusisha mpaka viongozi ndo importer wakubwa. Hawa TRA ni watoto wadogo sana wakitaka tuwape info na taarifa sahihi waache tabia zao za unyanyapaa. Sio vitenge tu mpaka nguo, mashuka na mapazia kodi hazilipwi kuanzia kule bandarini. Karikaoo ishakua ni black market tayari embu imagine TRA kariakoo kwa mwezi makusanyo ya kodi hayazidi billion 15 ni aibu ukizingatia KARIAKOO ndiyo kitovu cha biashara Africa mashariki kwa mwezi pekee Makusanyo ilibidi yawe hata bill100 na zaidi.
Mama bonge! Mtani vingine viache tu vipite maana vina kina kirefu kama utupu wa mwembamba
Aulizwe KateleKuna mikondo ya pesa wengi wetu hapa tunaisotea kwa udi na kwa uvumba! Wengine wanaroga kabisa ili waweze kuikamata. Kuna mitandao haramu ya biashara yenye faida za kufuru madini yanasubiri!
Vitenge biashara iliyohitaji elimu kubwa na uwekezaji wa wataalam ni biashara kubwa yenye mitandao ya kutisha inaguka kuwa biashara haramu sasa.. Maana watu wameshanogewa lakini mamlaka nazo sasa ndio zinakumbuka shuka asubuhi kukiwa kumeshapambazuka
Kuna nguvu ya kimamlaka inajaribu kuuvunja huu mtandao lakini bila kujitoa na kuongeza nguvu kubwa hawatafika popote. Watakamata vidagaa tuu na pumzi itakata
Ona hii magazijuto Kisha jiongeze!
Mwanamama kakamatwa Dodoma na mamlaka ya mapato kwa kosa la kutodai risiti ya mzigo wa vitenge alivyonunua .. Anashtakiwa kwa makosa mawili
1. Kutodai risiti
2. Kutotoa ushirikiano kwa maofisa alipotakiwa kuonesha mahali aliponunua mzigo
Huyu ni mbuzi wa kafara tuu... Hiyo mizigo wanaipata kimagumashi.. Mitandao ndio inafanya kazi..hakuna vituo rasmi ni kupeana juu kwa ju!
Siku mbili nyuma zimekamatwa gari na mzigo mkubwa wa vitenge mkoani lindi.. Mzigo haukuwa na nyaraka na ikasadikika ni mzigo wa magendo.. Mikwara mingi sana ikapigwa!
Mwezi uliopita zilikamwata container zenye mzigo wa kutosha wa vitenge .. Mzigo uliandikwa ni mashuka yako transit kumbe ni vitenge vinaenda kushushwa Tabata na wakahusishwa wazito hasa wakubwa
Tengeneza hilo picha la pyramid kuanzia Dar, Lindi mpaka Dom uone namna huo mtandao ulivyo mkubwa!
Je vijana wenye uchungu na nchi yao wanaojaribu kujitolea mustakali wao wauvunje huu mtandao wa biashara haramu ya vitenge watafanikiwa?
mama bonge sio mweupe kama mnavyojitahidi kumfananisha na wala hajafungashaMkuu tupiako basi kapicha kake mama bonge. Nasikia ni white halafu kafungasha mzigo wa hatariiii nyuma.