Biashara ya vitenge Kigoma

Biashara ya vitenge Kigoma

kusafirisha unaongea na makonda wa mabasi kama Saratoga au adventure hizi gari hupiga route za Dar kigoma ni rahisi kusafiri na mzigo hasa wkend days watakuchaji kwa boksi na mzigo wako utafika salama lkn uwe na uhakika wa njia yako
Ila ukifika dar polisi lazima wakudai risiti. Kama huna wanasema ni mali ya wizi hadi utoe ya kiwi
 
Wenye uzoefu wa biashara hii, hoteli za bei nafuu Kigoma, sehemu ninnayoweza kupata mzigo kwa bei ya jumla na mtaji kiasi gani kuanzia?
jitoe ufahamu siku ya kwanza na usiende kununua wala kuanza biashara anza kuangalia a to z.kisha ukipata kujua ufanye wewe kama wewe,hapa kila mtu hatajifanya mjasilia mali
 
Wenye uzoefu wa biashara hii, hoteli za bei nafuu Kigoma, sehemu ninnayoweza kupata mzigo kwa bei ya jumla na mtaji kiasi gani kuanzia?
Ulishaanza kununua Vitenge?
Kama bado Mimi naleta Vitenge hapo Dar...
Ni Wax Original toka Congo, Burundi na Nigeria!
Ni PM tuongee biashara.
 
Dada siku izi biashara yataka ujanja na ina ujanja mwingi sana ukienda kwa pupa hivo vitenge utaviacha munzani......
Nimeona mtu kakushauri nenda mwenyewe fanya utafiti na mm nakushauri hivo.
Na ukitaka biashara biashara yako ya vitenge tumia malori kusafirishia Sababu kwenye bus ni lazima watakuchoma na hio gharama yake unaweza ukawaachia tu!!
Ushauri
K/koo ukiingia kwenye maduka ya jumla kuna vitenge vizuri na copy ni nyingi naona wadada wa mjini ndo wanaviuza insta!! Na huko burundi rwanda kigoma angalia sana wakiona hujui vitenge wanakuuzia feki inayofanana na original kwenye soko itakupa shida ukikutana na mteja anaejua vitenge.
Kila la heri katika mipango yako..
Jmn natamani ungenisaidia namba ya mwenye Lori hta mmoja yaani nashida hadi kwny utosi namba yngu hyo 0786106281
 
Nimefanya biashara hii ,

Unachukua mzigo burundi to drc kwa bei chee kabisa.
 
Back
Top Bottom