Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,456
- 1,009
GeitAsante mkuu lakini Katoro ni mkoa gani?
GeitAsante mkuu lakini Katoro ni mkoa gani?
Poa kaka na mtaji ni sh ngap?Hapo mkuu inabidi usogee bora kwanza uko mkoa wa kagera
Maana kutoka mbeya huwezi pata usafiri wa moja kwa moja
Ndiyo kwao na Rais wako.Asante mkuu lakini Katoro ni mkoa gani?
Mkuu ni mkono wa kushoto au kulia kama unaenda steshen kutoa mwanga. Au sio soko la upande wa Exim bank au Nmb au NBC.kuna masoko mawili kuna mwanga na kule mjini mkono wa kushoto kama unaenda stesheni..
Kwa 22 ninahisi ukitaka jumla wanaweza fanya 30,000. Si mbayaKatoro vitenge vyote vipo yaan org na fake ila utaelezwa ukweli. Mi sio mfanyabiashara nipo Geita. Kigoma kama unataka pia kuna vitenge vizur sana na bei poa ukihitaji rejareja poa ila kama unahitaji mzgo mkubwa ITAPENDEZA ZAIDI kwani kuna punguzo maana mwaka juzi 2015 mwezi wa kwanza nilikwenda kufanya kaz Kigoma mjini nikafika Mwanga sokoni nikamchukulia mama kama doti mbili @ 22,000. Nahisi kwa tz Kigoma ni mwisho kuna maduka mengi ya vitenge hadi unashindwa ukanunue duka lipi uache lipi
Kwahyo mkuu inamaana ukitaka kuchukua mzgo wa vitengee unachukulia wap kigoma or bujumbura??Katoro vitenge vyote vipo yaan org na fake ila utaelezwa ukweli. Mi sio mfanyabiashara nipo Geita. Kigoma kama unataka pia kuna vitenge vizur sana na bei poa ukihitaji rejareja poa ila kama unahitaji mzgo mkubwa ITAPENDEZA ZAIDI kwani kuna punguzo maana mwaka juzi 2015 mwezi wa kwanza nilikwenda kufanya kaz Kigoma mjini nikafika Mwanga sokoni nikamchukulia mama kama doti mbili @ 22,000. Nahisi kwa tz Kigoma ni mwisho kuna maduka mengi ya vitenge hadi unashindwa ukanunue duka lipi uache lipi
Mkuu hayo mabasi yanaweza kushusha mzigo njiani mfano chalinze kibaha kiluvya au kokote pale au hadi yafike ubungo.kusafirisha unaongea na makonda wa mabasi kama Saratoga au adventure hizi gari hupiga route za Dar kigoma ni rahisi kusafiri na mzigo hasa wkend days watakuchaji kwa boksi na mzigo wako utafika salama lkn uwe na uhakika wa njia yako
Halaf nakumbusha usisahau passport na kadi ya chanjo,mpakani wakikuona wa kuja utaibiwa hadi saa ya mkononi,,,Asante mkuuu
Sawa sawa mkuu sasa hapo ndo niltaka kujua gharama za usafir mpaka kufika na mtaji piaNinaona unaweza kwenda mpaka Uvira Congo