Biashara ya vitenge Kigoma

Biashara ya vitenge Kigoma

Nimekupata mkuu, feki vinachakaa haraka sana lakini vile vya laki 3 vina dumu. Huku kwetu uswaz ni kheri uzuri 30-35,000 zaidi ya hapo ni kutafuta matatizo
Ni kweli ndio maana nikasema kwenye biashara hii ya vitenge ni muhimu sana kujua aina ya Wateja wako kuhusu kipato,tabia na standard wanazotaka. Hapo mtaenda sawa mie mpaka Leo naifanya hiyo biashara ninapokuwa na safari za mikoani, facebook imenisaidia kupata Wateja na hupiga picha na kuwatumia kabla ya kuanza safari najua nampelekea nani kitenge kipi na bei tunakuwa tumeelewana. Ni vema kutumia mitandao kukusaidia kukuunganisha na Wateja unaowafahamu na usiowajua
 
Wenye uzoefu wa biashara hii, hoteli za bei nafuu Kigoma, sehemu ninnayoweza kupata mzigo kwa bei ya jumla na mtaji kiasi gani kuanzia?
Siku hizi TRA haita waacha kitenge kimoja kukilipia ni sh 2,000
 
Kuna mtu kasema Congo na Burundi vinapita tu.. Vinatokea Nigeria. Hata mie mwanzo nilishangaa kuhusu vi-wanda congo na mkongoto ule (a.k.a vita)
 
Binatokea Nigeria na vingine vinatoka Holland vile vya 300,000 ni original vinatoka Holland
 
Kigoma mjini zipo lodge za bei poa nyingi ukitaka za kuanzia 7,000 na kuendelea, ukifika kigoma mjini usafiri wa kwenda boda munanila ni 7000 ingawa stand ya mabasi hapo gungu yapo mabasi yanayoenda bujumbura moja kwa moja sikuwahi kuuliza nauli ni sh ngapi ila boda munanila mpaka bujumbura ni 15,000-17,000 za Tanzania, sijui kama kuna maboti ya kwenda bujumbura toka kigoma mjini
 
Kigoma mjini zipo lodge za bei poa nyingi ukitaka za kuanzia 7,000 na kuendelea, ukifika kigoma mjini usafiri wa kwenda boda munanila ni 7000 ingawa stand ya mabasi hapo gungu yapo mabasi yanayoenda bujumbura moja kwa moja sikuwahi kuuliza nauli ni sh ngapi ila boda munanila mpaka bujumbura ni 15,000-17,000 za Tanzania, sijui kama kuna maboti ya kwenda bujumbura toka kigoma mjini
Asante sana mkuu
 
sehemu za kufikia ni nyingi mfano ukifika maeneo ya BIMA mweleze mtu akupeleke zanzibar hill, hapo vyumba ni 20000 kuna usalama na ni karibu na mjini vinakopatikana vitenge, ujue kutofautisha zanzibar lodge na zanzibar hill
Zanzibar Hill siku hizi pakichovu kabisa. Zamani ilikuwa bomba sana, ila siku hamna kitu imechakaa sana.
 
Hivi, ina maana vitenge vyote vinavyo tengenezwa Tz ni feki tupu, wakati pamba ya kumwaga ipo?? Hadi vitenge "original" viletwe toka mbali huko Nigeria, tena vinaingizwa kwa shida!
 
ukiwa tayari niambie nikupe mawasiliano ili ufike kiwepesi, by the way Bujumbura kutokea kgm ni rahisi sana, unapanda tu daladala. asikutishe mtu . Bujumbura ni salama na watu wa kgm ni gud ppl, afu hakuna udalali kama daslamu.
milioni mbili ni nyingi kwa kuania.

be blessed to the fullest
 
Hivyo vitenge anavaa nani. Mbona hatuoni wake zenu wakiwa wamevaa vitenge. Mnawauzia watu wengine vitenge. Wake zetu na dada zenu wanavaa mini sket zenye mipasuo. Kama kweli mnaamua kuuza nguo hizo za heshima basi hakikisheni wateja wa kwanza wawe wana familia.
 
The easiest way ni Burundi.
I took one for bi mkubwa nadhani haikuzidi 20,000 za tz kwa wax OG (nahisi walinipiga lkn iyo 20.000)
Mkuu Wax original hakuna siku hizi. Toka nwaja juzi hazipo. Ulidanganywa
 
vitenge og kwa kigoma cha juu haizidi tsh 23000 ukumbuke utakua salama hautoulizwa na mtu na risiti unapewa
Mkuu hapa umedanganya. Sema ukweli. Kuna Hollandee waambie bei ni tsh 73,000 hadi 170,000. Nenda kahakiki maduka ya mjini utakuja kusema bei. Hapa sokoni mwanga unaweza usipate
 
Back
Top Bottom