Biashara ya Uwakala na upotevu wa pesa

Biashara ya Uwakala na upotevu wa pesa

We manengelo mbona umekomalia sana binti atakua mpigaji? Yawezekana kama mdau mmoja alivyosema binti akawa na makosa ya kutoa au kutuma miamala kwa usahihi, umakini tu unahitajika kwenye hizi kazi...
Hakuna Cha kujuanhesabu Wala nini...bibie anazipiga..akitaka aamini akamkabidhi polisi..within a min ataitwa na polisi kupewa jibu...khaaa Ila watu wazito hapa duniani
 
Eti eh...Ila kweli...unaweza shundwa hesabu ukapoteza had laki 3! Kweli aisee nilisahau
We manengelo mbona umekomalia sana binti atakua mpigaji? Yawezekana kama mdau mmoja alivyosema binti akawa na makosa ya kutoa au kutuma miamala kwa usahihi, umakini tu unahitajika kwenye hizi kazi...
 
Nimetaka tuu kujua kwanza
NDIO/ HAPANA ??
Hayo ni mambo ya Imani zaidi aisee ..mie hata iweje sitatembelewa a chima ulete unaomaanisha wewe. Huma ulete hatoki mbali..chuma ulete ni wizi ambao mhusika hajagundua Nan anamuibia .wekeni CCTV muone maajabu ya duniani ..hakuna chuma ulete ..huyo chuma ulete angeenda direct bank akasomba fweza!.hakunaga
 
Yaani watu wanaamini watu mapema Sana simply eti.mshika dini...mwaka huu nilikua napoteza hela hivihivi...mara 30,50..nikawa hata sitak kufatilia...usk nilikaa nakaa napiga hesabu kila kitu naona Kuna hela inakosekana kbs...Sasa early Feb Kuna ishu nikauza kwa 3 .8m..maana jamaa alikuja na cash..nikamuamini akanikabidi mzigo wangu nikaiweka room...nkaingia kuoga niende chap kahama kudeposit bank..nafika bank nakuta Kama 200,000/- haipo...nilitetemeka kwa hasira..sikudeposit nikaamua nilewe kwanza...nikalewaaaaa[emoji38][emoji38]hiyo ni ijumaa...nikakaa siku 3 mjini...nikarudi eneo langu la kazi..nikamweleza operator hakuamin akasema sisy inaonekana umeangusha..nikamwambia kaa mbali na mm leo nauwasha moto had polisi waje...nikaingia room kukagua hakina kitu...roho yangu ikaniamboa katika Hawa vijana wako kuna mmoja anakuchezea...Sasa namkamataje??
Nikaenda kwa mama ntilie anapopenda kula..kumbe dogo bwana kaweka Oda daily anakula wali kuku na soda[emoji38]..analipa cash...siku ya tukio alienda usk mjini kucelebrate...aisee...Sina nguvu namfanyaje huyu...nilimwita rum nilimpiga na ubao mkubwa sijapata kupiga namna Ile .si unajua mwiz ni mwizi tu akakosa cha kujitetea..kumkagua ana 85!..tukampeleka mtoni tukamgalagaza na maji baridi wakamchekecha balaa..yaan anayekuibia hatoki mbali...ni hapo hapo..Tena sikumdhania..nilomdhaniaga kaka maana ni chapombe!
'tukampeleka mtoni tukamgalagaza na maji baridi wakamchekecha balaa'

Hahahah nakuaminia Kamanda,hakuna kucheka na kima mbele ya pesa.
 
Nipo na binti mmoja lakini sijamfikiria ..maana nimtu kashika dini sana

Kuna tofauti yeyote siku akiwepo yeye peke yake na wewe ukiwa peke yako hapo kwenye biashara?

Na pia jaribu kutafuta mtu mwenye uelewa kupitia namna unavyofanya hayo mahesabu yako.

Kama sikosei itahusisha pesa taslim uliyonayo mkononi, zilizopo kwenye float na ikiwa kuna waliopata huduma kwa kurejesha baadae, pia utaratibu wa kuchukua pesa za matumizi ukoje? Kumbukumbu zake zinawekwa sawasawa kwenye mahesabu jioni?

Mwisho, mahesabu ya muingiliano wa Mpesa na zile za kibenki mnayatenganisha ipasavyo?

Anza na hivyo vitu kwanza.
 
'tukampeleka mtoni tukamgalagaza na maji baridi wakamchekecha balaa'

Hahahah nakuaminia Kamanda,hakuna kucheka na kima mbele ya pesa.


😀😀Niliudhika Ile siku . Ilikua asbu had jion saa10 bado Niko naye. Watu wameniomba mno nimwachie ametubu nikawa naona hapana...kilichoniuma mie toka January niliqnza kula Mara moja tu. ..wenyewe wanakula thrice ..asbh wanapiga menu ..mchana wanapiga msos..uskk Kama kawa...mie nilikua nakunywa uji wa500 na mchana nakula msos wa buku ..utumbo mbuzi na ugali imetoka...nikaona wenyewe wale tu najua nn nataka..kumbe Kuna fala ananipiga nikienda maduarani ..Ile siku nilikua nyati ..tulimchekecha balaa....tukaliacha huko huko..alikaa siku 4 hawez hata kusimama ..
Nyingine operator kanipgia gololi zoote. Nikaja ambiwa na kitoto kidgo. Nikaweka moyoni .nimetoka plant sikumpa kitu. .nikamwambia leta golori upate chako...akahisi ananizidi akili ..akatafuta namba za baba mzaz na mume akawalalamikia...baba akasema samehe mlipe..nikasema hamjui naishije. Najibanaje mpka wakasanda wenyewe. Akakiri aliingiwa tamaa..tukamalizana hivyohivyo asiee hela inauma .labda uwe umelewa tu..! Na roho mbaya Sana ingawa nna roho nzuri mnoo had nakera watu
 
Kuna tofauti yeyote siku akiwepo yeye peke yake na wewe ukiwa peke yako hapo kwenye biashara?

Na pia jaribu kutafuta mtu mwenye uelewa kupitia namna unavyofanya hayo mahesabu yako.

Kama sikosei itahusisha pesa taslim uliyonayo mkononi, zilizopo kwenye float na ikiwa kuna waliopata huduma kwa kurejesha baadae, pia utaratibu wa kuchukua pesa za matumizi ukoje? Kumbukumbu zake zinawekwa sawasawa kwenye mahesabu jioni?

Mwisho, mahesabu ya muingiliano wa Mpesa na zile za kibenki mnayatenganisha ipasavyo?

Anza na hivyo vitu kwanza.
Sorry mkuu,,hv inafahaa kutenganisha pesa za miamala ya bank na mpesa right?maana nna ofisi ya namna hii hawa vijana loss wanazotengeneza ni zaidi ya stress
 
Kuna tofauti yeyote siku akiwepo yeye peke yake na wewe ukiwa peke yako hapo kwenye biashara?

Na pia jaribu kutafuta mtu mwenye uelewa kupitia namna unavyofanya hayo mahesabu yako.

Kama sikosei itahusisha pesa taslim uliyonayo mkononi, zilizopo kwenye float na ikiwa kuna waliopata huduma kwa kurejesha baadae, pia utaratibu wa kuchukua pesa za matumizi ukoje? Kumbukumbu zake zinawekwa sawasawa kwenye mahesabu jioni?

Mwisho, mahesabu ya muingiliano wa Mpesa na zile za kibenki mnayatenganisha ipasavyo?

Anza na hivyo vitu kwanza.
Kutenganisha pesa za mpesa na za bank sijafanya hilojambo zote zipo pamoja sababu ni biashara yaaina moja .alafu matumizi na Pesa ikitoka hata kwa mtu atakayelipa badae huwa naweka record katika kitabu chake napia watu wa kukopa na kulipa badae huwa inatokea Mara chache sana tena sana
 
Sorry mkuu,,hv inafahaa kutenganisha pesa za miamala ya bank na mpesa right?maana nna ofisi ya namna hii hawa vijana loss wanazotengeneza ni zaidi ya stress
Niambie mkuu hapo kwenye biashara yako inakuaje? Unapata loss au pesa zinakua taslim kila. Mara? Naomba kujua
 
Niambie mkuu hapo kwenye biashara yako inakuaje? Unapata loss au pesa zinakua taslim kila. Mara? Naomba kujua
Mm sikai hapo kwa biashara wako vijana wawli nimewaajiri ila sasa ukienda kuna kipnd hesabu unazikuta ziko sawa kuna kipnd loss ni kubwaaa mpk unafumba macho,,,mwezi huu tayari wanashoti ya zaidi ya laki 6,,,,lazima nitawafukuzaa siwezi
 
Zigawe fedha kwa mafungu ya fuatayo

Mpesa
Nmb
Cradb
Tigo
Eartel


Kila moja Iwe na hela yake utajua wapi zinapotelea

Kwenye biashara za fedha huwa tunapata wateja wa aina nyingi na wengine waminifu wengine wezi

Hapo unaweza kulipa miamala hewa ukahisi wamekuibia
 
[emoji3][emoji3]Niliudhika Ile siku . Ilikua asbu had jion saa10 bado Niko naye. Watu wameniomba mno nimwachie ametubu nikawa naona hapana...kilichoniuma mie toka January niliqnza kula Mara moja tu. ..wenyewe wanakula thrice ..asbh wanapiga menu ..mchana wanapiga msos..uskk Kama kawa...mie nilikua nakunywa uji wa500 na mchana nakula msos wa buku ..utumbo mbuzi na ugali imetoka...nikaona wenyewe wale tu najua nn nataka..kumbe Kuna fala ananipiga nikienda maduarani ..Ile siku nilikua nyati ..tulimchekecha balaa....tukaliacha huko huko..alikaa siku 4 hawez hata kusimama ..
Nyingine operator kanipgia gololi zoote. Nikaja ambiwa na kitoto kidgo. Nikaweka moyoni .nimetoka plant sikumpa kitu. .nikamwambia leta golori upate chako...akahisi ananizidi akili ..akatafuta namba za baba mzaz na mume akawalalamikia...baba akasema samehe mlipe..nikasema hamjui naishije. Najibanaje mpka wakasanda wenyewe. Akakiri aliingiwa tamaa..tukamalizana hivyohivyo asiee hela inauma .labda uwe umelewa tu..! Na roho mbaya Sana ingawa nna roho nzuri mnoo had nakera watu

Oooooh aiseee nakuelewa sana aisee,kujibana mwanzo mwisho halafu mpumbavu anakuja kula kilaini inakera kishenzi.

Ila nimekukubali aisee,sometimes bila kuwapeleka watu wajinga kijeshi jeshi hua hawaelewi kabisa uchungu wa hela.
 
Hiyo biashara mi nimeachana nayo kwasababu hizohizo line nimegawa naona itanifilis mtaji wenyewe mdogo halafu hela inayopotea inazid commission, naskia mawakala wakuu wakina haupo makin huwa wanafanya mambo, hii sijathibitisha
 
Mm sikai hapo kwa biashara wako vijana wawli nimewaajiri ila sasa ukienda kuna kipnd hesabu unazikuta ziko sawa kuna kipnd loss ni kubwaaa mpk unafumba macho,,,mwezi huu tayari wanashoti ya zaidi ya laki 6,,,,lazima nitawafukuzaa siwezi
Ukiuliza shoti zinatokana na nini wanakuambiaje?
 
Hiyo biashara mi nimeachana nayo kwasababu hizohizo line nimegawa naona itanifilis mtaji wenyewe mdogo halafu hela inayopotea inazid commission, naskia mawakala wakuu wakina haupo makin huwa wanafanya mambo, hii sijathibitisha
Ninapoweka flot kwa mawakala wakuu huwa naangalia kiasi kilichoingia na pesa niliyompatia wakala mkuu au bank huwa kipo sawa ..sasa sijui kama kutakua na mbinu mpya
 
Pole sana mkuu! Ila mimi naona tu nikualert kuhusiana na ushauri walioutoa wadau hapo juu! Kuna mdau kakushauri kutumia daftari akimaanisha maybe unachanganya katika mahesabu yako, umemhakikishia kuwa huwa upo makini! Kuna mdau mwingine kakushauri uwe unaombea na kukemea sehemu yako ya kazi ili kuikabidhi katika ulinzi wa Mungu, ukamwambia sawa utafanya hivyo!

Then kuna mwingine kakwambia weka na mkaa na ndimu kwenye droo au mfuko unamohifadhi fedha, naye pia ukasema sawa utajaribu kufanya hivyo!......Ok umefanya vizuri kwa kuwa muungwana wa kupokea kila ushauri! Sasa na mimi nakushauri kwamba, ukiamua kujikabidhi kwa Mungu kwa imani ya dhati kabisa, basi usijichanganye na nguvu za aina nyingine kwani utafanya nguvu ya Mungu ijitoe kwako!

Mfano kama umeamua kuweka mkaa na Limau, Hata ukiomba ulinzi wa Mungu hapo ni kazi bure manake utakuwa unalinganisha nguvu ya Mungu aliyekuumba wewe na wewe ukalima limau na kuchoma mkaa, alafu unamlinganishana nguvu ya Limau na mkaa! Hapa simaanishi kuwa napingana na wadau waliotoa ushauri wa kutumia ndimu na mkaa, bali natahadharisha mazingira ambamo nguvu ya Mungu huwa inafanya kazi na mle ambamo Mungu hawezi kujichanganya hata kwa kumchanganya! Ukiweka ndimu na mkaa basi amini katika hivyo na ukijikabidhi kwa Mungu, amini katika yeye tu!
 
Back
Top Bottom