Zero Star
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 4,140
- 8,315
In your subconscious mind...where do you get endless power?
In your subconscious mind...where do you get endless power?
If so then every one has his/her own.In your subconscious mind...
...u have got me wrong,that why I said, it can heal you or kill you depend on your ability of your conscious mind.If so then every one has his/her own.
Don't cram like a kindergatten
Unamaanisha pesa ziwekwe wapi?[emoji813][emoji813][emoji813] Unaandikaga kwa kucement vyema Sana...Kuna sauti anayoitaka yeye ..sio advices...
Mkuu ni kweli biashara nyingi Sana zimefungwa..lakini apart kusinhizia Hali yetu ya uchumi % kubwa Sana ya wafanyabiashara/wajasiriamali wa kitz hatupo serious ..yaan nadhani ndo asili yetu ..walioamua kujinasua ndo hao unawaona wanapiga hatua..
Cheki huu Uzi had unawaza hivi tuko serious kweli na biashara??? Mtu analalamika ameibiwa zaidi ya 600k lakini amerelax akisubiria miujiza ...mtu unaibiwa daily hela hushtuki .unaanza tupia nyanya sijui limao dah[emoji1732][emoji1732]!
Jamani biashara ni Kama dini....ifateni misingi yake. Be honest wapi unafeli...mbona utaona kaunafuu!! Way back 15yrs dingi alikua ananicrush mno mno nikimwambia nataka kuwa successful ..alikua ananiambia kitu kimoja ambacho Sasa hv napanbana nacho mnoo...
Alikua anasema huez kufanikiwa Kama utaendelea kuwa mzembe .unaacha hela popote tu mradi umeweka..nilikua namchukiaaaa.lakini Sasa hivi namwelewa Sana... Biashara sio mziki kusema utabadilisha steps utakapotaka wewe. Biashara ni maagano na dhamira yako unataka kufika wapi... Nadhan mitaji ya kupewa inatufanya tuone dunia ni rahisi tu ..! Yaani tupo tu hatujuelewi ..hizo droo zitawekwa mkaa ,limao..ndimu..majibu..chumvi, mapumba,mashudu lakininusipoamua kusimama na kuwa makini utajikuta kila mwaka umerudi kwenye zero...unalaumu kila mtu..serikali,Hali ya hewa,wateja,frame mbaya,etc etc..kumbe shida ni wewe mwenyewe KIMEO![emoji1732]
Biashara kichaa hiyo,matapeli ,majambazi na ma chuma ulete yote yako sambamba na weweHabari Wanajamvi
Naomba mnisaidie jambo moja kwa watu wenye uelewa na hili swala la mambo ya wakala wa huduma za kifedha katika mitandao ya simu na huduma za Kibank.Mimi nafanya huduma hizi jambo linalonisumbua wanajamvi ni upotevu wa pesa .kwamfano nina mtaji wa M20 nazungushia pesa hizo katika wakala huduma za kibenk na mitandao ya simu .
Kutoa na kuweka pesa sasa kila ninapofunga hesabu lazima nikute pesa pungufu Mara elf 20, 18, 30, 40, juzi nimepata loss ya laki 3. Wanajamvi nashindwa kuelewa shida inakua ni nini najitahidi kuwa makini kwa kila muamala lakini.
Bado hali ni hiyo hiyo naomba mnisadie hata mbinu au mawazo maana sijui tatizo linakua wap kwa wenye uelewa nipeni mbinu yakutokupata hasara za mara kwa mara
Ushauri mzuri huuSi mnapata statement ..weka utaratibu wa kuandika unachopata na kutoa
Mfanoo...andika (DR) zote ulizotoa..ulizolipa cash
Kisha (CR) kwa ulizo ingiza (pokea)
Uwe na daftali
Baadaye piga hesabu ya toatl kwa kila muamala utajua kosa lipo wapi...badaye unavuta statement ya siku utaona makosa yako na kama umelipa vibaya utaona
Mali bila Daftari, Hupotea bila Habari.....Kwa miamala ya kibank wateja huwa nawajazia fomu za bank husika nabaki na copy na miamala ya simu huwa siandikishi ....nakua makini kwa kila hatua ya kufanya muamala napesa cash mtu anapotoa lakini nikipiga hesabu jioni hasara inakuwa ipo
Mbona ni rahisi sana kujua kama binti anapiga au hapigi. Atenge wiki moja / siku 7 ampe binti likizo alaf akae mwenyewe ofsin.Hakuna Cha kujuanhesabu Wala nini...bibie anazipiga..akitaka aamini akamkabidhi polisi..within a min ataitwa na polisi kupewa jibu...khaaa Ila watu wazito hapa duniani
Kwa miamala ya kibank wateja huwa nawajazia fomu za bank husika nabaki na copy na miamala ya simu huwa siandikishi ....nakua makini kwa kila hatua ya kufanya muamala napesa cash mtu anapotoa lakini nikipiga hesabu jioni hasara inakuwa ipo
Ndio hao hao washika dini nuksi sanaNipo na binti mmoja lakini sijamfikiria ..maana nimtu kashika dini sana
Watu wanaisema vibaya mbuzi katoliki Ila hawajuiHahahaha umenikumbusha kuna jamaa yangu mmoja hivi anaamini sana katika chuma ulete. pesa ikionekana ku miss moja kwa moja jamaa anajua wazee wa street wamepita nayo
Huyo jamaa alikua hana masihara kwenye swala la hela nakumbuka alimfata mzee mmoja hivi anauza madawa ya asili Kuomba ushauri kudhibiti hiyo kero ya upotevu wa hela
Mzee akamuambia weka mikaa kwenye droo yako ya pesa kisha ukipokea hela kwa mteja iweke chini kisha ikanyage na mguu ndio uiweke kwenye droo ikapigwe msasa na mkaa.
Mzee akamuambia ila kuna njia nyingine ambayo ni bora zaidi na iko very secure kukulinda na chuma ulete ila tatizo moja tu inapingana na itikadi zako
Jamaa akauliza ipi hiyo, yule docta akamwambia ni kuweka mifupa ya nguruwe kwenye droo unapo hifazia pesa zako. Ukiweka mifupa hata mamluki waje na magnetic ya kichawi hawanasi kitu
Jamaa hakumjibu mzee ila kesho yake nilimuona yuko around kwenye bucha la nguruwe
Kama ulishwahi mtongoza jua ashajimilikisha biashara hio[emoji1787][emoji1787][emoji3577]Sijarelax dear... naweza nikawaza hivyo naikawa tofauti huwezi muhukumu mtu tu .ndio maana nimeomba ushauri na nitafatilia huu ushauri ninaopata na bado ikawa hvyo basi ninahaki kumuhukumu nayeye pia
We Ni noma umenipa maujanja hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3577]Yaani watu wanaamini watu mapema Sana simply eti.mshika dini...mwaka huu nilikua napoteza hela hivihivi...mara 30,50..nikawa hata sitak kufatilia...usk nilikaa nakaa napiga hesabu kila kitu naona Kuna hela inakosekana kbs...Sasa early Feb Kuna ishu nikauza kwa 3 .8m..maana jamaa alikuja na cash..nikamuamini akanikabidi mzigo wangu nikaiweka room...nkaingia kuoga niende chap kahama kudeposit bank..nafika bank nakuta Kama 200,000/- haipo...nilitetemeka kwa hasira..sikudeposit nikaamua nilewe kwanza...nikalewaaaaa[emoji38][emoji38]hiyo ni ijumaa...nikakaa siku 3 mjini...nikarudi eneo langu la kazi..nikamweleza operator hakuamin akasema sisy inaonekana umeangusha..nikamwambia kaa mbali na mm leo nauwasha moto had polisi waje...nikaingia room kukagua hakina kitu...roho yangu ikaniamboa katika Hawa vijana wako kuna mmoja anakuchezea...Sasa namkamataje??
Nikaenda kwa mama ntilie anapopenda kula..kumbe dogo bwana kaweka Oda daily anakula wali kuku na soda[emoji38]..analipa cash...siku ya tukio alienda usk mjini kucelebrate...aisee...Sina nguvu namfanyaje huyu...nilimwita rum nilimpiga na ubao mkubwa sijapata kupiga namna Ile .si unajua mwiz ni mwizi tu akakosa cha kujitetea..kumkagua ana 85!..tukampeleka mtoni tukamgalagaza na maji baridi wakamchekecha balaa..yaan anayekuibia hatoki mbali...ni hapo hapo..Tena sikumdhania..nilomdhaniaga kaka maana ni chapombe!
Ya Ngoswe,Mapenzi na Kazi!Kama ulishwahi mtongoza jua ashajimilikisha biashara hio![]()
![]()
![]()