Biashara ya Uwakala na upotevu wa pesa

Biashara ya Uwakala na upotevu wa pesa

Kutenganisha pesa za mpesa na za bank sijafanya hilojambo zote zipo pamoja sababu ni biashara yaaina moja .alafu matumizi na Pesa ikitoka hata kwa mtu atakayelipa badae huwa naweka record katika kitabu chake napia watu wa kukopa na kulipa badae huwa inatokea Mara chache sana tena sana

Ukitenga inarahisisha kujua tatizo liko wapi.
Ni muhimu kutafuta mtu mzoefu wa kufanya nae kwa muda ukaweka kambi hata wiki moja. Ukaona anavyoendesha kuanzia mwanzo wa siku hadi mwisho wa siku.
 
Sorry mkuu,,hv inafahaa kutenganisha pesa za miamala ya bank na mpesa right?maana nna ofisi ya namna hii hawa vijana loss wanazotengeneza ni zaidi ya stress


Sina uzoefu ila nafikiri ni vizuri kutenganisha iki kubaini matatizo yanatokea wapi. Ikiwa na wenyewe mfumo wa mahesabu hawauelewi vizuri wanaweza kuwa wanapiga wanajua wana cha ziada wanatia ndani kumbe ni kuchanganya mahesabu.
 
Nipo na binti mmoja lakini sijamfikiria ..maana nimtu kashika dini sana
Asikudanganye mtu?!!mimi ninazo NMB,CRDB, EQUITY, AIRTELMONEY,VODA,HALOPESA,nimesha fukuza sanaa wafanyakz kwa tatizo ilo ilo!!ila siku nikakaa monyewe week mbili tuu??ikaja loss laki aiseee!!na miamala yotee nilifanya mimi haha??ila chaajabu kesho ukija kubalance tena unakuta laki tatu haipo??ukija tena unakuta Elf 70 ndio haipo??kesho unakuta sh 73 haipo??mwisho wa siku unakuta labda pesaa imezidii kuliko mtaji wako!?!ila hakikisha ndani ya week moja iyo pesa ambayo haionekani iwe imebalance?!?ukiona siku nyingi zimepita bila kubalance jua umeliwaa??
 
asikudanganye mtu?!!mimi ninazo NMB,CRDB, EQUITY, AIRTELMONEY,VODA,HALOPESA,nimesha fukuza sanaa wafanyakz kwa tatizo ilo ilo!!ila siku nikakaa monyewe week mbili tuu??ikaja loss laki aiseee!!na miamala yotee nilifanya mimi haha??ila chaajabu kesho ukija kubalance tena unakuta laki tatu haipo??ukija tena unakuta Elf 70 ndio haipo??kesho unakuta sh 73 haipo??mwisho wa siku unakuta labda pesaa imezidii kuliko mtaji wako!?!ila hakikisha ndani ya week moja iyo pesa ambayo haionekani iwe imebalance?!?ukiona siku nyingi zimepita bila kubalance jua umeliwaa??
Kuna siku nilikaa monyewe ofisini...ikasfika saa tano Asubuhi balance ilikua imezidi kuliko mtaji??...ikafika mchana..nika balance tena??..balance ikarudi vile vile??jioni wakati nafunga balance ikawa imepungua elfu kumi na 100??ila hapo hapo wafanyakz wangu wawaili niliwafukuza..walinipiga 90000??baada ya kuwabanaa sanaaa wakasema waliona imezidi kwenye voda wakaamua kuilaa!!?..hilo deni ni baada ya week nzimaa nikibalance 90000 net haipo??nikaamua kuwabana!!?yani inshort loss kwenye balance kama ipo basi isiwe loss ya pesa ile ile kila sikuu!!hapo utakua umepigwa!!!
 
Habari Wanajamvi

Naomba mnisaidie jambo moja kwa watu wenye uelewa na hili swala la mambo ya wakala wa huduma za kifedha katika mitandao ya simu na huduma za Kibank.Mimi nafanya huduma hizi jambo linalonisumbua wanajamvi ni upotevu wa pesa .kwamfano nina mtaji wa M20 nazungushia pesa hizo katika wakala huduma za kibenk na mitandao ya simu .

Kutoa na kuweka pesa sasa kila ninapofunga hesabu lazima nikute pesa pungufu Mara elf 20, 18, 30, 40, juzi nimepata loss ya laki 3. Wanajamvi nashindwa kuelewa shida inakua ni nini najitahidi kuwa makini kwa kila muamala lakini.

Bado hali ni hiyo hiyo naomba mnisadie hata mbinu au mawazo maana sijui tatizo linakua wap kwa wenye uelewa nipeni mbinu yakutokupata hasara za mara kwa mara
Ofisini kwangu kila jumapili huwa nakuja kufunga hesabu monyewe!!?maana ndio nakua peke yanguu ofisini!! Sasa hapo ndio najua kama nikiona loss!?nifanyaje!!au nikae siku ngapi ili nione kama ipo ile ile au laah!?!hizo siku zotee kabla ya jumapili huwa wanafunga wao!!
 
Kuna siku nilikaa monyewe ofisini...ikasfika saa tano Asubuhi balance ilikua imezidi kuliko mtaji??...ikafika mchana..nika balance tena??..balance ikarudi vile vile??jioni wakati nafunga balance ikawa imepungua elfu kumi na 100??ila hapo hapo wafanyakz wangu wawaili niliwafukuza..walinipiga 90000??baada ya kuwabanaa sanaaa wakasema waliona imezidi kwenye voda wakaamua kuilaa!!?..hilo deni ni baada ya week nzimaa nikibalance 90000 net haipo??nikaamua kuwabana!!?yani inshort loss kwenye balance kama ipo basi isiwe loss ya pesa ile ile kila sikuu!!hapo utakua umepigwa!!!
Pesa kuzidi ipo lakini siiweki kwenye hesabu za mtaji maana najua huwa inakua miamala ilokosewa na wateja wengine kutoa inaingia kwangu baada ya siku mbili tatu unakuta haipo imerud amount ileile ya mtaji wako
 
Pesa kuzidi ipo lakini siiweki kwenye hesabu za mtaji maana najua huwa inakua miamala ilokosewa na wateja wengine kutoa inaingia kwangu baada ya siku mbili tatu unakuta haipo imerud amount ileile ya mtaji wako
Kwangu nilishajiwekea ..ndani ya siku 6??kusiwe na loss na kama ipo basi isiwe ile ile kila siku!!patachimbika
 
Habari Wanajamvi

Naomba mnisaidie jambo moja kwa watu wenye uelewa na hili swala la mambo ya wakala wa huduma za kifedha katika mitandao ya simu na huduma za Kibank.Mimi nafanya huduma hizi jambo linalonisumbua wanajamvi ni upotevu wa pesa .kwamfano nina mtaji wa M20 nazungushia pesa hizo katika wakala huduma za kibenk na mitandao ya simu .

Kutoa na kuweka pesa sasa kila ninapofunga hesabu lazima nikute pesa pungufu Mara elf 20, 18, 30, 40, juzi nimepata loss ya laki 3. Wanajamvi nashindwa kuelewa shida inakua ni nini najitahidi kuwa makini kwa kila muamala lakini.

Bado hali ni hiyo hiyo naomba mnisadie hata mbinu au mawazo maana sijui tatizo linakua wap kwa wenye uelewa nipeni mbinu yakutokupata hasara za mara kwa mara
Usihamishe salio kwa mteja yeyote pia kunawatu wanarudisha miamala ya kitambo ko jitahid kupokea simu kutoka mtandao usika ili ujue kama mteja anataka kurudisha muamala au vipi na jeeh!!? Unataarifa zote za miamala unayoifanya
 
Sina uzoefu ila nafikiri ni vizuri kutenganisha iki kubaini matatizo yanatokea wapi. Ikiwa na wenyewe mfumo wa mahesabu hawauelewi vizuri wanaweza kuwa wanapiga wanajua wana cha ziada wanatia ndani kumbe ni kuchanganya mahesabu.
Ooh sawa
 
Usihamishe salio kwa mteja yeyote pia kunawatu wanarudisha miamala ya kitambo ko jitahid kupokea simu kutoka mtandao usika ili ujue kama mteja anataka kurudisha muamala au vipi na jeeh!!? Unataarifa zote za miamala unayoifanya
Simu za kurudisha miamala nilipokea moja tu ..kuhusu kuhamisha salio sijakuelewa mkuu
 
Sikutaka kufikiria hvyo lakini nitaweka mtego nitajua
Tatizo lako unaelezwa loop holes za uhakika kabisa za fedha kuweza kupotea lakini wewe unabaki kubishabisha. Huo ubishi ndiyo unakufanya uibiwe. Na nimeshaona akili zako zilipolalia. Unataka uaminishwe imani potofu na ya uongo kabisa ya chuma ulete! Nakuhakikishia hakuna kitu kama chuma ulete. Ni uzushi wa kijinga kabisa. Fedha zinapotea kwa watu kutokuwa makini i.e. uzembe. Na tabia ya uzembe Tanzania imetamalaki kila kona. Sehemu za huduma unakuta mtu anahudimia watu watatu kwa wakati mmoja huku anazungumza na simu. Ushauri wangu: Fedha unazembea mwenyewe kwenye kuhesabu au mfanyakazi wako anakupiga (usiniambie ni mfia dini ni siku hizi ni kichaka cha maovu)
 
Back
Top Bottom