Malyakishu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,968
- 2,339
Habari Wanajamvi
Naomba mnisaidie jambo moja kwa watu wenye uelewa na hili swala la mambo ya wakala wa huduma za kifedha katika mitandao ya simu na huduma za Kibank.Mimi nafanya huduma hizi jambo linalonisumbua wanajamvi ni upotevu wa pesa .kwamfano nina mtaji wa M20 nazungushia pesa hizo katika wakala huduma za kibenk na mitandao ya simu.
Kutoa na kuweka pesa sasa kila ninapofunga hesabu lazima nikute pesa pungufu Mara elf 20, 18, 30, 40, juzi nimepata loss ya laki 3. Wanajamvi nashindwa kuelewa shida inakua ni nini najitahidi kuwa makini kwa kila muamala lakini.
Bado hali ni hiyo hiyo naomba mnisadie hata mbinu au mawazo maana sijui tatizo linakua wap kwa wenye uelewa nipeni mbinu yakutokupata hasara za mara kwa mara.
Naomba mnisaidie jambo moja kwa watu wenye uelewa na hili swala la mambo ya wakala wa huduma za kifedha katika mitandao ya simu na huduma za Kibank.Mimi nafanya huduma hizi jambo linalonisumbua wanajamvi ni upotevu wa pesa .kwamfano nina mtaji wa M20 nazungushia pesa hizo katika wakala huduma za kibenk na mitandao ya simu.
Kutoa na kuweka pesa sasa kila ninapofunga hesabu lazima nikute pesa pungufu Mara elf 20, 18, 30, 40, juzi nimepata loss ya laki 3. Wanajamvi nashindwa kuelewa shida inakua ni nini najitahidi kuwa makini kwa kila muamala lakini.
Bado hali ni hiyo hiyo naomba mnisadie hata mbinu au mawazo maana sijui tatizo linakua wap kwa wenye uelewa nipeni mbinu yakutokupata hasara za mara kwa mara.