Kuna dada namfahamu ni msomi mzuri lakini anadai ajira bongo hakuna na inabidi aendeshe maisha yake na ndugu zake! Kwahiyo anajiuza pande zote utakazo ila wateja zake wakubwa ni wadhungu maana wabongo sio watoaji pesa nzuri ila kuwapa hao wadhungu sio rahisi.