Biashara ya ukahaba

Biashara ya ukahaba

Payer

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2014
Posts
824
Reaction score
189
Habari ya jumapili wadau wote wa jamvi hili?

Hivi ni nini hasa sababu ya mabinti kuona kuwa kujiuza miili yao ni fursa kiuchumi?

Jambo hili linazagaa kwa kasi sana karibu mikoa yote Tanzania.

Nini kifanyike kuwanusuru dada zetu hawa?

attachment.php
 

Attachments

  • 1400397540656.jpg
    1400397540656.jpg
    35.1 KB · Views: 3,058
Nahisi wao wanaofanya Biashara hiyo wanaweza kuwa na majibu sahihi juu ya Maswali yako hayo!!!
 
kuna diwani mmoja kwetu magomeni wilaya ya kinondoni kupitia ccm alisema makahaba wawe wanalipa kodi
 
elimu na umasikini therefore ajira na ujuzi wapatiwe ila ni ngumu sana
 
Nahisi wao wanaofanya Biashara hiyo wanaweza kuwa na majibu sahihi juu ya Maswali yako hayo!!!

Ni hisia njema. Wao ni shm ya jamii yetu. Tunajua maisha yao na twaweza kuwa na jambo la kuwanusuru kutoka aibu hii yenye kila harufu ya laana
 
Ni hisia njema. Wao ni shm ya jamii yetu. Tunajua maisha yao na twaweza kuwa na jambo la kuwanusuru kutoka aibu hii yenye kila harufu ya laana

Wapo waliotaka kuwanusuru lakini wameishindwa wameamua kuwaacha watakapo ona sasa imetosha wataacha wenyewe na wengine walitaka kuwanusuru wakaamishwa na vituo vya kazi wateja wao ndo hao hao wanaoweza kuwanusuru na biashara hiyo Utamu wa Ngoma ingia ucheze!!!!!
 
elimu na umasikini therefore ajira na ujuzi wapatiwe ila ni ngumu sana

Umenena vema mkuu.... waundiwe sakosi. Wapewe elimu ya kujitegemea, waambiwe madhara ya matokeo ya kazi yao hiyo na wawezeshwe vimitaji kdg wasimame
 
nadhani ni bora wawe wanalipa kodi maana wanatoa huduma muhimu katika jamii na kupata kipato lakini hawalipi kodi.
 
Hbr ya j2 wadau wote wa jamvi hili?
Hivi ni nini hasa 7bu ya mabinti kuona kuwa kujiuza miili yao ni fursa kiuchumi?
Jambo hili linazagaa kwa kasi sana krb mikoa yote Tanzania. Nini kifanyike kuwanusuru dada zetu hawa?

ukisoma the law of demand n supply utapata majibu yote
 
Wapo waliotaka kuwanusuru lakini wameishindwa wameamua kuwaacha watakapo ona sasa imetosha wataacha wenyewe na wengine walitaka kuwanusuru wakaamishwa na vituo vya kazi wateja wao ndo hao hao wanaoweza kuwanusuru na biashara hiyo Utamu wa Ngoma ingia ucheze!!!!!

Hapa nimepata kitu. Wanaume ndio wa kuwanusuru hawa.
 
soko lipo! biashara maana yake ni faida, na ni lazima awepo mnunuzi na muuzaji

Kweli kabisa mkuu maana soko lisingekuwa linalipa wasingekuwepo na hata kama wangekuwepo wasingekuwa wengi sana kama sasa.
 
Nadhani wanasababu zao kwanini wanafanya huo ukahaba na ingekuwa vizuri kama ungewauliza wahusika wangekupa majibu sahihi.
 
Hapa nimepata kitu. Wanaume ndio wa kuwanusuru hawa.
wanaume siku Tusema atuwanunui wala atutaki uduma utaona wataenda kulima au hata kujishugulisha ili wapate kipato lakini tunavyowanunua ndo tunawapa kibuli cha kufanya hiyo Biashara.
 
Back
Top Bottom