Biashara ya ukahaba mtandaoni inasikitisha na kustua

Biashara ya ukahaba mtandaoni inasikitisha na kustua

Dunia inatisha, kuna sehemu unahudumiwa bia na wadada walio uchi, chuchu saa 6, huko bia elfu 10.
 
Huyu Jamaa sijui Katoka sayari gani sasa Kuna nini cha ajabu hapo kwani ukaba umeamza Leo umeyasahau ya nuhu na safina. ? Hakuna dhambi MPYA duniani. Aghhh unafeli Mkuu acha nilekitu yangu mie [emoji855]
 
Hutu hajawahibkufika corner bar matako bar au buguruni Kimboka
 
Dunia inatisha, kuna sehemu unahudumiwa bia na wadada walio uchi, chuchu saa 6, huko bia elfu 10.
Mkuu sinywi bia ila nataka nikajifunze kunywa moja hayo maeneo
 
Hata kipindi cha YESU walikuwepo hao.
Ndo mana ilimchukua yesu muda mrefu kuwajua maana Hakukua na Instagram, Facebook, internet
 
Enzi za elyfun, mig33, w8u mocospace kitambo sanaaaa.
 
Ni kweli ndio maana nikaamua kushea nanyi wakuu muone namna watanzania wanavyojiachia
Ku share maana yake ni kuongeza coverage ya uovu wanaoufanya na hivyo unachofanya wewe ni kuwasaidia kufikia malengo yao. Inawezekana unafanya hivyo kwa kujua au kutokujua

Ilitosha tu kuelezea jambo lilivyo just without providing sites links
 
Back
Top Bottom