IHOLOMELA
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,807
- 1,677
- Thread starter
- #41
Mdogo wangu kuna vitu vina-evolve kutoka umbo moja kwenda jingine. Ni sawa apps ni kifupi cha applications lakin zamani haizikuwa zikiitwa hivyo.kwani hadi leo izo app zinaitwaje si application? bado apps ni kifupi cha appliactions maneno kibaoo...