kibumbu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,420
- 3,482
Umenirudisha kumbukumbu nyumaTumetoka mbali sana Mkuu, sie ni kizazi kilichomalizia kutumia simu za TTCL na tukaingia Mobitel na Tritel unapiga simu tu no sms, enzi za kuchat kwa ICQ, MSN Messenger na Yahoo Messenger. Ilikuwaga safi sana