Biashara ya ukahaba mtandaoni inasikitisha na kustua

IHOLOMELA

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
1,807
1,672
Poleni na mihangaiko ya kutwa nzima Wakuu.

Nianze na historia kidogo. Katika miaka ya mwanzo 2000 ambapo simu zenye uwezo wa Internet ndo zimeanza kuingia nchini hasa Nokia kulikuwaga na visaiti flani flani tukiingia kupakua (download) apps (enzi hizo zikiitwa applications) mfano themes za simu, tones, videos, games, apps za kuchati kama flurry, mig33, mocospace nk ambavyo visaiti hivyo vikijulikana kama wapsites, mojawapo ya wapsites nilikuwa nikiingia sana ni getjar.com na peperonity.com. Hapa utakutana na Symbian application maelfu kwa maelfu kwani kipindi hicho nilikuwa nna bonge la simu kwa wakati huo Nokia 6600 yenye Memory Card 12MB.

Katika peperonity.com ilikuwa unajisajili halafu unaanzisha kama ka-blog fulani na unaka-customize utakavyo na kupandisha (upload) vitu utakavyo mfano picha, video au apllication yoyote ulio ipakuwa sehemu. Nakumbuka vi-blogu (account) vingi vya kupakua vilikuwa vya wahindi, Wapakistan na Wabangladesh ndani ya hio peperonity.

Baada ya miaka 13 kutokufungua hio site leo nimekaa nikaanza kukumbuka tulivyoanza mambo ya ku-browse, ndipo nilipoikumbuka hii WAPSite, nikaona hebu niitafute niingine nione kama bado akaunti yangu iko active. Nimeandika ikani-direct yomowo.com. Kuingia naona ule mwonekano ni wa peperonity lakini adresi ni yomowo. Nikasema ngoja nijaribu ku-log in kwa username na nywila ya peperonity, nikafanikiwa kuingia.

Sasa kilichonifanya kuandika hii habari ni kwamba wengi kama sio wote wa users wa mtandao huu kutoka Tanzania ni malaya na mashoga, tena mtu anasema kabisa kuwa anataka wanaume wawili wam-duu kisukuma tunaita 3some.

Kwa hali kama hii kweli Ukimwi utapungua nchi hii? Je usagaji na ushoga kweli utadhibitiwa?

Kawatembelee ujionee mwenyewe, Find Friends: Girls, Tanzania, friendship site Tanzania, find friends...

Nawasilisha
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    12.5 KB · Views: 278
  • Capture1.PNG
    Capture1.PNG
    11.6 KB · Views: 228
umenikumbusha mbali mnoo
daaah peperonity mkuu
nilishawahi kuwa na AC huko ..mambo nimoto ile mbaya ..
nilivoweza kumshinda nguvu shetani wa ujana nikaja kujiweka mbali nayo ..kuna site nyingi mno chafu sio hiyo tu..
palikuwaga nahii 2go ...hii ilikuwa IPO kama watsaap flani Hivi
dadeq INA magasho wa kibongo hiyo ..
daahh dunia kweli simama
 
Poleni na mihangaiko ya kutwa nzima Wakuu.

Nianze na historia kidogo. Katika miaka ya mwanzo 2000 ambapo simu zenye uwezo wa Internet ndo zimeanza kuingia nchini hasa Nokia kulikuwaga na visaiti flani flani tukiingia kupakua (download) apps (enzi hizo zikiitwa applications) mfano themes za simu, tones, videos, games, apps za kuchati kama flurry, mig33, mocospace nk ambavyo visaiti hivyo vikijulikana kama wapsites, mojawapo ya wapsites nilikuwa nikiingia sana ni getjar.com na peperonity.com. Hapa utakutana na Symbian application maelfu kwa maelfu kwani kipindi hicho nilikuwa nna bonge la simu kwa wakati huo Nokia 6600 yenye Memory Card 12MB.

Katika peperonity.com ilikuwa unajisajili halafu unaanzisha kama ka-blog fulani na unaka-customize utakavyo na kupandisha (upload) vitu utakavyo mfano picha, video au apllication yoyote ulio ipakuwa sehemu. Nakumbuka vi-blogu (account) vingi vya kupakua vilikuwa vya wahindi, Wapakistan na Wabangladesh ndani ya hio peperonity.

Baada ya miaka 13 kutokufungua hio site leo nimekaa nikaanza kukumbuka tulivyoanza mambo ya ku-browse, ndipo nilipoikumbuka hii WAPSite, nikaona hebu niitafute niingine nione kama bado akaunti yangu iko active. Nimeandika ikani-direct yomowo.com. Kuingia naona ule mwonekano ni wa peperonity lakini adresi ni yomowo. Nikasema ngoja nijaribu ku-log in kwa username na nywila ya peperonity, nikafanikiwa kuingia.

Sasa kilichonifanya kuandika hii habari ni kwamba wengi kama sio wote wa users wa mtandao huu kutoka Tanzania ni malaya na mashoga, tena mtu anasema kabisa kuwa anataka wanaume wawili wam-duu kisukuma tunaita 3some.

Kwa hali kama hii kweli Ukimwi utapungua nchi hii? Je usagaji na ushoga kweli utadhibitiwa?

Kawatembelee ujionee mwenyewe, Find Friends: Girls, Tanzania, friendship site Tanzania, find friends...

Nawasilisha
AYA YA SIKU

Na tuchunguze njia zetu na kuzijaribu, Na kumrudia Mungu tena.

Maombolezo 3:40
 
Matangazo ya biashara yapo ya aina nyingi sana.

Hata kwenye movie unaweza kuona mtu anakunywa Coca Cola ukakumbukakunywa na wewe ukifikiri umeona movie tu, kumbe ni tangazo la biashara.

Inaitwa "product placement".

Sasa na hapainawezekana tuna "product placement" ama kwa makusudi, ama kwa ajali.
 
Back
Top Bottom