Biashara ya Uchawi Tanzania

Sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini Tanzania, Shule moja ipo Temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.

Ukimaliza Temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo Tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.

Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.

Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende Mombasa nchini Kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.

Nawewe ni candidate au? mbona hizi habari ndo nazisikia kwako!
 
Vipi umewasahau akina mkwere, mzindakaya na wanasiasa wengine kwenye huo utafiti wako
 
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
umesahau hawa watu
5. wanasiasa
 
Mkuu Majimoto... How do yo know all this ? :twitch:
Na je hiki kitu kinaexist kweli au ni mazingaombwe ya kuwatapeli watu ? ( Namaanisha supernatural powers za kupaa na ungo, kupanda fisi, misukule and all them stories...., ) sababu binafsi sijaona wala kukutana na mtu aliyeona kila mtu huwa anasikia tu...
 
Mkuu Majimoto... How do yo know all this ? :twitch:
Na je hiki kitu kinaexist kweli au ni mazingaombwe ya kuwatapeli watu ? ( Namaanisha supernatural powers za kupaa na ungo, kupanda fisi, misukule and all them stories...., ) sababu binafsi sijaona wala kukutana na mtu aliyeona kila mtu huwa anasikia tu...

Mkuu, haya mambo yapo, hayo uliyoyaandika ni madogo, laiti macho yako ya ndani yangekuwa na uwezo wa kuona ulimwengu, ungeshangaa dunia ilivyojaa uchafu.

Kwa mfano sasa hivi wapo watu wengi sana barabarani ambao siyo binadamu kabisa, na wengi wameolewa na kuoa bila kujua. Yapo magari mengi yanatembea barabarani jijini sasa hivi yakitokea kuzimu, na mara nyingi yanapomaliza shughuli zao za uharibifu hutoweka, wananchi wanabaki kudai serikali ijenge matuta kupunguza ajali, mtajenga matuta hadi mtashindwa kutembea ndani ya barabara zenu wenyewe.
 
Wachawi wa nchi, wanapata msaada wa nguvu ya uchawi kutoka kwa shetani mkuu (Lucifier), Shetani na wasaidizi wake wanaishi ndani ya moyo wa dunia. Kila nchi ina milango ya kushukia kwa mkuu (shetani) na hapa Tanzania milango hiyo ipo sehemu zifuatazo:-

a) Mwanza kando ya ziwa victoria
b) Tabora mjini ndani ya soko kuu
c) Kibirizi, Kigoma kando ziwa Tanganyika
d) Njombe, Iringa
e) Upanga Dar es Salaam
f) Bagamoyo kando ya bahari
g) Pangani, Tanga kando ya bahari.
 
Wachawi wa nchi, wanapata msaada wa nguvu ya uchawi kutoka kwa shetani mkuu (Lucifier), Shetani na wasaidizi wake wanaishi ndani ya moyo wa dunia. Kila nchi ina milango ya kushukia kwa mkuu (shetani) na hapa Tanzania milango hiyo ipo sehemu zifuatazo:-

a) Mwanza kando ya ziwa victoria
b) Tabora mjini ndani ya soko kuu
c) Kibirizi, Kigoma kando ziwa Tanganyika
d) Njombe, Iringa
e) Upanga Dar es Salaam
f) Bagamoyo kando ya bahari
g) Pangani, Tanga kando ya bahari.

scientific ideas goes with proved data,kama hazipo you have no right to speak
 
Sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini Tanzania, Shule moja ipo Temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.

Ukimaliza Temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo Tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.

Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.

Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende Mombasa nchini Kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.

.
Yaani degree ya kwanza na ya pili inapatikana nchini ila hakuna chuo kikuu(university)? Hueleweki kabsaa!! Ni chuo gani kinatoa masters kisichokua kikuu?
P/se! Za mbayuwayu changanya na za kwako.
.
 
.
Yaani degree ya kwanza na ya pili inapatikana nchini ila hakuna chuo kikuu(university)? Hueleweki kabsaa!! Ni chuo gani kinatoa masters kisichokua kikuu?
P/se! Za mbayuwayu changanya na za kwako.
.

????????????

Je unajuwa wakihitimu wanapewa cheti cha namna gani?
 
Mkuu, haya mambo yapo, hayo uliyoyaandika ni madogo, laiti macho yako ya ndani yangekuwa na uwezo wa kuona ulimwengu, ungeshangaa dunia ilivyojaa uchafu.
Mkuu hizo bado ni hadithi za kusadikika...., Mfano mimi siku nikiona kitu ambacho si cha kawaida takwenda hospitali wakanipime akili, labda nineanza kuchanganyikiwa na ninaona vitu ambavyo havipo unless jambo moja tuone wengi kwa wakati mmoja, na hapo tasema tumepigwa changa la macho.

Sasa since hapa tunaongelea facts na wewe upo hapa.., naomba tuanze kuongelea hili suala la kupaa kwa ungo..., je ni force gani inayofanya mtu apae na ungo au ni michanganuo ipi unafanya ili upae...., sababu ndugu yangu bila kuleta facts hapa kutakua hakuna tofauti na hadithi za alfu lela olela
 
upanga sehemu gani?
Wachawi wa nchi, wanapata msaada wa nguvu ya uchawi kutoka kwa shetani mkuu (Lucifier), Shetani na wasaidizi wake wanaishi ndani ya moyo wa dunia. Kila nchi ina milango ya kushukia kwa mkuu (shetani) na hapa Tanzania milango hiyo ipo sehemu zifuatazo:-

a) Mwanza kando ya ziwa victoria
b) Tabora mjini ndani ya soko kuu
c) Kibirizi, Kigoma kando ziwa Tanganyika
d) Njombe, Iringa
e) Upanga Dar es Salaam
f) Bagamoyo kando ya bahari
g) Pangani, Tanga kando ya bahari.
 
Mkuu hizo bado ni hadithi za kusadikika...., Mfano mimi siku nikiona kitu ambacho si cha kawaida takwenda hospitali wakanipime akili, labda nineanza kuchanganyikiwa na ninaona vitu ambavyo havipo unless jambo moja tuone wengi kwa wakati mmoja, na hapo tasema tumepigwa changa la macho.

Sasa since hapa tunaongelea facts na wewe upo hapa.., naomba tuanze kuongelea hili suala la kupaa kwa ungo..., je ni force gani inayofanya mtu apae na ungo au ni michanganuo ipi unafanya ili upae...., sababu ndugu yangu bila kuleta facts hapa kutakua hakuna tofauti na hadithi za alfu lela olela

Usafiri wa ungo upo wa aina nyingi, upo usafiri wa ungo unaotumia wanyama, upo usafiri wa kutumia fagio, upo usafiri wa kutumia fimbo, upo usafiri wa kutumia ungo.

Wachawi wote wana roho ya uchawi, roho ya uchawi ni roho inayokufanya uweze kupita eneo ngumu na kutokeza upande wa pili, kwa mfano wachawi wanapowanga usiku roho hizi huwafanya kuingia katika nyumba yoyote na kuwafanyia uchawi usiku watu waliolala ndani ya nyumba hizo bila ya kuonekana. Isipokuwa nyumba za walokole haziingiliki kabisa.

Roho za uchawi zinawawezesha wachawi kujibadilisha maumbo yao, kutoka maumbo ya kibinadamu na kugeuka kuwa paka, panya, kunguru n.k.

Wanapotaka kusafiri anakuwa na vifaa vyake vya kichawi, kisha huomba dua akinuizia majini yampeleke sehemu fulani, roho yake ya uchawi na majini humuinua juu angani kwa kasi hadi eneo alilokusudia. Usafiri wa aina hii ni hatari kwani unaweza kutunguliwa kirahizi ukiwa angani.

Usafiri wa kutumia wanyama kama fisi, hutumika kwa nchi kavu tu, hawawezi kuvuka bahari kwenda visiwani au nchi za mbali.

Usafiri wa kasi sana ni wa kutumia fimbo, kabla ya kuanza safari, unaomba dua ya manuizo na kukanyanga incha moja ya fimbo, roho ya uchawi na majini hukuinua juu angani, kama unataka kwenda Nigeria kutoka Dar, utaonyeshwa njia yote ilivyo, kama kuna hatari yoyote huonekana, na inabidi uhairishe safari, kama njia ni nyeupe, unatakiwa ukanyage incha ya pili ya fimbo, na safari huanza kwa kasi ya sauti. Kwa sababu safari ni ya kasi sana na upepo ni mkali sana, kiasi kuwa huwezi kufika ukiwa hai, majini huchomoa roho yako ndani ya mwili wako na roho kukutangulia mbele, mwili wako huikimbiza roho yako ukiwa katika hali ya umauti, unaweza kutumia sekunde 10 kufika Nigeria, lakini ni usafiri wa hatari kuliko zingine, usafiri huu hujulikana kama usafiri wa kujichinja.

Wachawi wa Marekani na bara Ulaya wao hutumia sana usafiri wa fagio.
 
Usafiri wa ungo upo wa aina nyingi, upo usafiri wa ungo unaotumia wanyama, upo usafiri wa kutumia fagio, upo usafiri wa kutumia fimbo, upo usafiri wa kutumia ungo.

Wachawi wote wana roho ya uchawi, roho ya uchawi ni roho inayokufanya uweze kupita eneo ngumu na kutokeza upande wa pili, kwa mfano wachawi wanapowanga usiku roho hizi huwafanya kuingia katika nyumba yoyote na kuwafanyia uchawi usiku watu waliolala ndani ya nyumba hizo bila ya kuonekana. Isipokuwa nyumba za walokole haziingiliki kabisa.

Roho za uchawi zinawawezesha wachawi kujibadilisha maumbo yao, kutoka maumbo ya kibinadamu na kugeuka kuwa paka, panya, kunguru n.k.

Wanapotaka kusafiri anakuwa na vifaa vyake vya kichawi, kisha huomba dua akinuizia majini yampeleke sehemu fulani, roho yake ya uchawi na majini humuinua juu angani kwa kasi hadi eneo alilokusudia. Usafiri wa aina hii ni hatari kwani unaweza kutunguliwa kirahizi ukiwa angani.

Usafiri wa kutumia wanyama kama fisi, hutumika kwa nchi kavu tu, hawawezi kuvuka bahari kwenda visiwani au nchi za mbali.

Usafiri wa kasi sana ni wa kutumia fimbo, kabla ya kuanza safari, unaomba dua ya manuizo na kukanyanga incha moja ya fimbo, roho ya uchawi na majini hukuinua juu angani, kama unataka kwenda Nigeria kutoka Dar, utaonyeshwa njia yote ilivyo, kama kuna hatari yoyote huonekana, na inabidi uhairishe safari, kama njia ni nyeupe, unatakiwa ukanyage incha ya pili ya fimbo, na safari huanza kwa kasi ya sauti. Kwa sababu safari ni ya kasi sana na upepo ni mkali sana, kiasi kuwa huwezi kufika ukiwa hai, majini huchomoa roho yako ndani ya mwili wako na roho kukutangulia mbele, mwili wako huikimbiza roho yako ukiwa katika hali ya umauti, unaweza kutumia sekunde 10 kufika Nigeria, lakini ni usafiri wa hatari kuliko zingine, usafiri huu hujulikana kama usafiri wa kujichinja.

Wachawi wa Marekani na bara Ulaya wao hutumia sana usafiri wa fagio.

umejuaje haya???mweh :msela:
 
Back
Top Bottom