Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

Hivi kuna jamaa ina abudu uchawi kwenye hili taifa kama jamii ya wasukuma..? Na kanda ya ziwa kwa ujumla..? Vipi kule sumbawanga. Vipi maiaji ya vikongwe pale shinyanga..? Vipi mauaji ya albino umeyasikia Tanga, kilimanjaro..?
Kili ni 1. Kwenye uchawi ulioshindikana
 
Viper, itakushangaza sana baada ya miaka isiyozidi 10 serikali itakuja na sheria ya kutambua uwepo wa wachawi na vitendo vya kichawi wanavyofanya kwani wataanza kuumbuliwa kwa mambo yao ya kificho na kila kitu kitaonekana mchana kweupe tena hadharani.
Hakika umeona maono ya mbali, kwakua Kuna watu walikua wamekufa nakuzikwa, Sasa wanaonekana hai kigoma, geita tumeshuhudia matukio haya hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom