Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Jamani naona hili tatizo la umeme tutaendelea kuwa nalo kwa miaka takriban 20 ijayo
sasa nauliza je kama nataka kufanya biashara ya solar kama wale jamaa wa REX mnanishaurije?
Naweza kuingia ubia na watu ambao wanaweza kukusanya investment capital ya kiasi cha 2-3 million usd
Je soko lipo Tanzania?
Je solar ni zero tax kama nchi zingine?
Je REX ni ya nani na wanaendeleaje?
Kutokana na tatizo la umeme naona ni ngumu hata kuweka assembly Tanzania je tukiingiza ambazo zishafungwa toka nje je?
Je naweza ku incorporate na umeme wa upepo pia au?
sasa nauliza je kama nataka kufanya biashara ya solar kama wale jamaa wa REX mnanishaurije?
Naweza kuingia ubia na watu ambao wanaweza kukusanya investment capital ya kiasi cha 2-3 million usd
Je soko lipo Tanzania?
Je solar ni zero tax kama nchi zingine?
Je REX ni ya nani na wanaendeleaje?
Kutokana na tatizo la umeme naona ni ngumu hata kuweka assembly Tanzania je tukiingiza ambazo zishafungwa toka nje je?
Je naweza ku incorporate na umeme wa upepo pia au?