Edson Carrington
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 216
- 634
Habari wakuu,
Mimi ni kijana mjasiriamali na nimeamua rasmi kujikita huko katika harakati zangu za utafutaji na kuongeza kipato. Na nimejaribu kufuatilia sana kuhusu biashara ya juice ya miwa ambayo kwa sasa ni habari ya mjini hapa dar kutokana na jua linalowaka.
Ombi langu wakuu ni maoni yenu viongozi maana nataka nijikite rasmi huko na nipo mbioni kununua mashine ya juice na baadhi ya vifaa au vyombo vitakavyonisaidia kuendeshea biashara hiyo.
Maombi yangu kwenu ni kama ifuatavyo;
●Je, ni vitu, vifaa au vyombo gani muhimu napaswa kuwa navyo kwa sasa
●Ni aina gani ya mashine ambayo ni bora, ( umeme au petrol)
●Tahadhari gani natakiwa kuchukua kabla ya kuanza mradi huu
●Ni aina gani ya kijana natakiwa kumchagua ili anisaidie
●Wapi naweza pata miwa
●Sehemu gani nzuri kwa kuanzisha biashara hii
●Changamoto za biashara hii
Naomba mchango wenu wakuu
Mimi ni kijana mjasiriamali na nimeamua rasmi kujikita huko katika harakati zangu za utafutaji na kuongeza kipato. Na nimejaribu kufuatilia sana kuhusu biashara ya juice ya miwa ambayo kwa sasa ni habari ya mjini hapa dar kutokana na jua linalowaka.
Ombi langu wakuu ni maoni yenu viongozi maana nataka nijikite rasmi huko na nipo mbioni kununua mashine ya juice na baadhi ya vifaa au vyombo vitakavyonisaidia kuendeshea biashara hiyo.
Maombi yangu kwenu ni kama ifuatavyo;
●Je, ni vitu, vifaa au vyombo gani muhimu napaswa kuwa navyo kwa sasa
●Ni aina gani ya mashine ambayo ni bora, ( umeme au petrol)
●Tahadhari gani natakiwa kuchukua kabla ya kuanza mradi huu
●Ni aina gani ya kijana natakiwa kumchagua ili anisaidie
●Wapi naweza pata miwa
●Sehemu gani nzuri kwa kuanzisha biashara hii
●Changamoto za biashara hii
Naomba mchango wenu wakuu