Kwanza inatakiwa ujue ni aina gani ya samaki (kuna sangara na sato kanda ya ziwa bila kusahau kamongo na kambale) Kuhusu pwani sijui sana
Soko umeshasema ni uhakika sasa kazi imebaki ni wapi utawapata hao samaki, mimi pia najihusisha na hii biashara kiukweli inalipa
Kama upo kanda ya ziwa unaweza kunicheki tukabadilishana ujuzi