mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,762
Hakuna mahali aliposema anataka kuwa tajiri,yeye anataka kufanya biashara kwa ajili ya kuendesha.Hivi ni nani umemsikia kawa tajiri kwa kuuza samaki?
Na kuwa tajiri ni mipango ya mungu,hakuna biashara maalum ambayo ukiifanya automatically unakuwa tajiri.
Sent using Jamii Forums mobile app