Mi huwa nakereka na hawa wafanyabiasha ambao wanasema nauza kitu bei nafuu au bei nzuri halafu hawaweki bei,huu ni ubabaishaji,hatujifunzi kwa wenzetu?!mfano,angalia makampuni yanayofanya biashara mitandaoni wanaweka bei ya bidhaa zao,halafu wewe ukiiona utajipanga kulingana na mfuko wako,bei nzuri kwako kwa mwingini ni mbaya,bei nafuu kwako kwa mwingine ni ghali.Tupia bei mtu aamue mwnyw!