Biashara ya Restaurant inamshinda ndugu yangu

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,111
115,905
Nina ndugu yangu kaanzisha biashara ya Restaurant na tayari imeanza kumshinda.

Nilienda kufanya tathmini kidogo ili niweze kumshauri nikajikuta nashindwa cha kumshauri...ingawa makosa nimeyaona.

Kosa kuubwa ni kumfanya mkewe ndo mpishi mkuu.

Mapishi ya nyumbani kwao wameleta kwenye biashara.

Chapati ngumu nk.

Nafikiri kama mtu unataka kufanikiwa biashara kama restaurant inabidi ujifunze Kwa wanaofanya ikibidi utafute mtu kutoka kwenye industry hiyo.

Kuamini Tu kuwa mapishi yako yatakubalika na kila mtu ni kuweka mazingira ya Ku feli.

Asilimia kubwa ya wanaofanya biashara wamejifunza Kwa watu wanaofanya biashara hizo.

Wapo watu wamefanya kazi za upishi Hadi kwenye hoteli kubwa za nyota tano halafu ndo wameemda kufanya biashara zao binafsi za vyakula wanafanikiwa.

Kingine usafi ...usafi wa vyakula vya biashara ni tofauti na vyakula vya majumbani.

Nyumbani mnaweza tumia wote kijiko kimoja kukorogea chai.... kwenye biashara ni tofauti kabisa.

Nafikiri kabla ya mtu kuingiza mtaji ni vizuri kufanya research ya kutosha ...kuna biashara zinaonekana nyepesi Kwa nje lakini ngumu Sana kufikia standard ya kuvutia wateja.
 
Kama unampenda nduguyo mshauri...

Atafute wapishi hodari au wapembe upande wa vitafunwa, chips na nyama za kuchoma au kukaanga

Atafute wapishi wazuri wa misosi

Kwa kuwa ni restaurant atafute wahudumu nadhifu wa kike na wakiume wenye lugha nzuri Kwa wateja.

Mazingira yawe safi sana.

Vyakula viwe tayari Kwa muda muafaka

Mfano asubuhi saa 12:30 basi vinavyohusiana na kifungua kinywa viwe tayari mfano, chai, vitafunwa, supu na mtori, juice fresh

Ifikapo saa Tano na nusu Cha mchana kiwe tayari....hiki anaweza kuunganisha kikafika Hadi jioni.

Mkewe amuweke kusimamia wapishi wapike Kwa muda na mauzo.

Fridge amkabidhi mmoja wa wahudumu ili ikitokea loss iwe rahisi kujua wapi imepatikana. So huyo mhudumu mmoja kazi yake ni kuhudumia vinywaji, asubuhi anakabidhiwa vilivyomo kwenye fridge na vitavyotarajiwa kuongezwa, jioni wanavyofunga wanakabidhiana pia.

Jikoni pia amtafute mmoja awe msimamizi wa vitu vya jikoni maana wanatabia ya kuchukua vitu, so anayekabidhiwa ndio atahusika na lolote.
 
Kama unampenda nduguyo mshauri...

Atafute wapishi hodari au wapembe upande wa vitafunwa, chips na nyama za kuchoma au kukaanga

awe msimamizi wa vitu vya jikoni maana wanatabia ya kuchukua vitu, so anayekabidhiwa ndio atahusika na lolote.
Nadhani mleta uzi unaweza chukua hii comment ukamtumia kwa njia ya sms huyo ndugu yako mkatafuta namna ya kurekebisha. Usiogope kumrekebisha ndugu yako.
 
Mleta mada nadhani jibu utakuwa umepata.
Kama unampenda nduguyo mshauri...

Atafute wapishi hodari au wapembe upande wa vitafunwa, chips na nyama za kuchoma au kukaanga

Atafute wapishi wazuri wa misosi

Kwa kuwa ni restaurant atafute wahudumu nadhifu wa kike na wakiume wenye lugha nzuri Kwa wateja.

Mazingira yawe safi sana.

Vyakula viwe tayari Kwa muda muafaka

Mfano asubuhi saa 12:30 basi vinavyohusiana na kifungua kinywa viwe tayari mfano, chai, vitafunwa, supu na mtori, juice fresh

Ifikapo saa Tano na nusu Cha mchana kiwe tayari....hiki anaweza kuunganisha kikafika Hadi jioni.

Mkewe amuweke kusimamia wapishi wapike Kwa muda na mauzo.

Fridge amkabidhi mmoja wa wahudumu ili ikitokea loss iwe rahisi kujua wapi imepatikana. So huyo mhudumu mmoja kazi yake ni kuhudumia vinywaji, asubuhi anakabidhiwa vilivyomo kwenye fridge na vitavyotarajiwa kuongezwa, jioni wanavyofunga wanakabidhiana pia.

Jikoni pia amtafute mmoja awe msimamizi wa vitu vya jikoni maana wanatabia ya kuchukua vitu, so anayekabidhiwa ndio atahusika na lolote.
 
Kama unampenda nduguyo mshauri...

Atafute wapishi hodari au wapembe upande wa vitafunwa, chips na nyama za kuchoma au kukaanga

Atafute wapishi wazuri wa misosi

Kwa kuwa ni restaurant atafute wahudumu nadhifu wa kike na wakiume wenye lugha nzuri Kwa wateja.

Mazingira yawe safi sana.

Vyakula viwe tayari Kwa muda muafaka

Mfano asubuhi saa 12:30 basi vinavyohusiana na kifungua kinywa viwe tayari mfano, chai, vitafunwa, supu na mtori, juice fresh

Ifikapo saa Tano na nusu Cha mchana kiwe tayari....hiki anaweza kuunganisha kikafika Hadi jioni.

Mkewe amuweke kusimamia wapishi wapike Kwa muda na mauzo.

Fridge amkabidhi mmoja wa wahudumu ili ikitokea loss iwe rahisi kujua wapi imepatikana. So huyo mhudumu mmoja kazi yake ni kuhudumia vinywaji, asubuhi anakabidhiwa vilivyomo kwenye fridge na vitavyotarajiwa kuongezwa, jioni wanavyofunga wanakabidhiana pia.

Jikoni pia amtafute mmoja awe msimamizi wa vitu vya jikoni maana wanatabia ya kuchukua vitu, so anayekabidhiwa ndio atahusika na lolote.
Sahihi
 
Hospitality industry ni ngumu sana usipokua makini dakika chache unafirisika.

Kwanza atafte wapishi wazuri.

Pili mgahawa uwe na consistency, mgahawa uwe na chakula kila kile siku zote ama hata kama anaongeza aina nyingine asiache ile ya zamani labda kama itakosa kabisa mlaji.

Customer services iwe ndio kipaumbele chake, kauli nzuri kwa wateja, usafi, nk.

Afanye biashara ya mgahawa kisasa, aache mazoea na Uswahili.
 
Back
Top Bottom