Biashara ya Pastor Tony iko mashakani

Biashara ya Pastor Tony iko mashakani

Siku za hivi karibuni amemfungulia mke wake ambaye ameonekana ku- trend na shuhuda tata,kama vile kujaza mtungi wa gas kwa kupulizia na mdomo,kuwachukia wanaume wanaolala kwamba bora wakazini na kumtishia dereva wake siku akimuona analala atamuua.

Pia kuna video fupi inaonesha akishuhudia kwamba kila akitoka safari anawachapa watoto bila sababu ili wamwambie walifanya makosa gani.

Ninavyojua waumini wake wengi ni wanavyuo ambao wengi huenda kanisani hapo kubahatisha huenda
atapata demu au demu atapata mchumba.

Lakini kwa hali hii ya mke wa Tony jinsi anavyoharibu na Tony mwenyewe alivyokuja kujiinua na kuwatukana washirika wake kuwa hawana hela ni maskini wakubwa,

Ninaanza kuona jinsi kiburi kitakavyoamua anguko lake.
Biashara yake sio muda mrefu inaweza kuharibika
Usisahau soko la wapumbavu wa imani ni kubwa.
Bado na watajaa, halafu kila mtu ataondoka kwa muda wake baada ya kupigika vya kutosha
 
Huyu mwanamke yawezekana anapitia msongo wa mawazo tony anaonekana malaya mno
 
Uliona wapi mkristor anaakili
Tunajua umeyashika sana mafundisho ya Balaamu, yeye aliyemfundisha Balaki atie ukwazo mbele ya Watu walio kubali kumfuata Yesu Kristo. Unataka wayashike mafundisho ya Wanikolai huku umejivika roho ya Yezebeli uwafundishe watumishi wa Yesu Kristo na kuwapoteza, ili wazini na kugeukia ibaada za sanamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom