Siku za hivi karibuni amemfungulia mke wake ambaye ameonekana ku- trend na shuhuda tata,kama vile kujaza mtungi wa gas kwa kupulizia na mdomo,kuwachukia wanaume wanaolala kwamba bora wakazini na kumtishia dereva wake siku akimuona analala atamuua.
Pia kuna video fupi inaonesha akishuhudia kwamba kila akitoka safari anawachapa watoto bila sababu ili wamwambie walifanya makosa gani.
Ninavyojua waumini wake wengi ni wanavyuo ambao wengi huenda kanisani hapo kubahatisha huenda
atapata demu au demu atapata mchumba.
Lakini kwa hali hii ya mke wa Tony jinsi anavyoharibu na Tony mwenyewe alivyokuja kujiinua na kuwatukana washirika wake kuwa hawana hela ni maskini wakubwa,
Ninaanza kuona jinsi kiburi kitakavyoamua anguko lake.
Biashara yake sio muda mrefu inaweza kuharibika
Pia kuna video fupi inaonesha akishuhudia kwamba kila akitoka safari anawachapa watoto bila sababu ili wamwambie walifanya makosa gani.
Ninavyojua waumini wake wengi ni wanavyuo ambao wengi huenda kanisani hapo kubahatisha huenda
atapata demu au demu atapata mchumba.
Lakini kwa hali hii ya mke wa Tony jinsi anavyoharibu na Tony mwenyewe alivyokuja kujiinua na kuwatukana washirika wake kuwa hawana hela ni maskini wakubwa,
Ninaanza kuona jinsi kiburi kitakavyoamua anguko lake.
Biashara yake sio muda mrefu inaweza kuharibika