Duh basi ni hatari.Maryslim sio dili tena.. ashaunganishwa Kinyerezi 2..
Duh basi ni hatari.Maryslim sio dili tena.. ashaunganishwa Kinyerezi 2..
Unavyeti vya kuombea kazi?nataka kuwa dalali wa hawa warembo nafanyaje
Jeska slim anauza sana
Mitambo umeme mkuu...Mkuu cjakuelewa; kinyerezi2
Mitambo umeme mkuu...
Naomba ya marryslimNinayo. Hata ya maryslim
App gan hyo?
Exotic Tanzania ndio niliingia nikashangaa napatana na jirani bei huku tukiwa hatufahamiani


Sema wale bei zao sioGoogle play download hitweMkuu hii ni social media gani nijunge huko?
Hitwe badoo inazingua kweny kutuma message mpk mtu akulike back ndo unatuma message lakin hiyo ni simpleMtandao gan huu
HitweApp gan hyo?
Ni sawa na msafara wa nungunungu na karunguyeye wamo😲
Sijui hata nimefata nini kwenye huu uzi!!
Kweli kwenye msafara wa mamba na kenge tumo..😅
Umenena kweli mkuu, shida si umaskini tu bali uhitaji wa ngono. Wenzetu Ulaya wanazo Red Light District, unajichagulia tu na starehe za mwanzo tangu kuumbwa kwa dunia (kwa wanaoamini) ni pombe na wanawake na ndio ukweli hadi leoTatizo sio pesa ni tabia mbona mpaka developed countries hii biashara inafanyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbinguni ni wapi tena? najua ndio tumefika hapaNani kakwambia kuwa wanataka kwenda mbinguni?
Mkuu hili tangazo lako tegemea mpka tunakwenda mitamboni PM yako itakuwa inafurika namba za wakulungwa wakiomba koneksheni!!! Za huyo anaetoa mpka puani
Sent using Jamii Forums mobile app

