Tujiajiri
Member
- Aug 21, 2023
- 11
- 20
Tupeni fursa
Fursa zipo kwenye kilimo ila uvumilivu ndio unahitajika.
Tupeni fursa
Tupeni fursa
Uko kwenye ufuta kukoje...uje Kuna mtu uku kanigusia ila kawa mchoyo wa taarifa kasema uko Hela inazaa Hela...alishakuwepo uko mwaka Jana akapata..nasasa hivi anataka auze kunia zake mia200 za mpunga awahi uko lindi mwezi wa5 anasema msimu ndo unaanza wamavuno kwaiyo anawahi kabla walanguzi matajiri Toka dar,mbeya,arusha hawajakuja kupandilia BeiFursa zipo kwenye kilimo ila uvumilivu ndio unahitajika.
Mkuu nimeamini usemacho kuhusu ufuta..hapa Kuna mtu nafamiana nae kasema hivo hivo kama unavosema ila kawa mchoyo wa taarifa anadai anaenda lindi mwezi wa Tano ndo mwanzo mwa msimu Bei huwa chini kabla ya walanguzi hawajavamiaNjoo kilwa ununue ufuta kuanzia mwezi wa tano mkuu hautojuta tena anza na mtaji wowote ule kuanzia laki sita kama unajitafuta au mtaji upo anza hata na million mbili,tatu,tano,kumi yani ww tu na mtaji wako.
Uvumilivu kiasi ganiFursa zipo kwenye kilimo ila uvumilivu ndio unahitajika.
Ukute hata wewe huwa unaisikia kwenye matangazo ya biashara tu!!. Kusoma na kupata pesa ni vitu viwili tofauti.Kijana mdogo wa miaka 21 kawazidi mbali sana vijana wetu hawa wanakulia mashuleni mavyuoni huko wanahitimu na wanatoka bila kitu wanakaa nyumbani kusubiri ajira pambana Sana kijana