Biashara ya nafaka Dar ipoje

Fursa zipo kwenye kilimo ila uvumilivu ndio unahitajika.
Uko kwenye ufuta kukoje...uje Kuna mtu uku kanigusia ila kawa mchoyo wa taarifa kasema uko Hela inazaa Hela...alishakuwepo uko mwaka Jana akapata..nasasa hivi anataka auze kunia zake mia200 za mpunga awahi uko lindi mwezi wa5 anasema msimu ndo unaanza wamavuno kwaiyo anawahi kabla walanguzi matajiri Toka dar,mbeya,arusha hawajakuja kupandilia Bei
 
Njoo kilwa ununue ufuta kuanzia mwezi wa tano mkuu hautojuta tena anza na mtaji wowote ule kuanzia laki sita kama unajitafuta au mtaji upo anza hata na million mbili,tatu,tano,kumi yani ww tu na mtaji wako.
Mkuu nimeamini usemacho kuhusu ufuta..hapa Kuna mtu nafamiana nae kasema hivo hivo kama unavosema ila kawa mchoyo wa taarifa anadai anaenda lindi mwezi wa Tano ndo mwanzo mwa msimu Bei huwa chini kabla ya walanguzi hawajavamia
 
Kijana mdogo wa miaka 21 kawazidi mbali sana vijana wetu hawa wanakulia mashuleni mavyuoni huko wanahitimu na wanatoka bila kitu wanakaa nyumbani kusubiri ajira pambana Sana kijana
Ukute hata wewe huwa unaisikia kwenye matangazo ya biashara tu!!. Kusoma na kupata pesa ni vitu viwili tofauti.
 
Back
Top Bottom