Biashara ya miili Iringa noma

Biashara ya miili Iringa noma

MR.NOMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
339
Reaction score
511
Kama Buguruni, Kimboka na Sinza Dar; mjini Iringa ukahaba wazi wazi tena huku ni zaidi ya Dar. Ufuska unafanywa mchana kweupe. Nenda Holiday-in bar Frelimo bei ni kuanzia 15,000 na kuendelea hapo ni pamoja na room. Pia kuna tetesi kuwepo madanguro ya siri maeneo mengi ikiwemo Kihesa.

Serikali ihalalishe tu uuzaji wa miili maana imefumbia macho suala hilo.
 
Mkuu mbona sio huko tu! Hii biashara sasa hivi ni kila kona. We fikiria, unamtongoza msichana huku anaangalia mifuko yako suruali na hakatai,.
Huku mtaani mtu ambae kwa macho ukimwangalia unaweza kufikiri utamwanzaje, ukianzisha tu yeye anamalizia.
 
Mkuu hii umeiweka kama tangazo kabisa. Yaani mie nikiamka na mtingo wangu sasa najua wapi pa kwenda. Wala gesti sitafuti kwani ushanitaarifu niende wapi.
Ndio ivo Mkuu wenye mamlaka kudhibiti hii wanajifanya hawaoni.tena hata mi NGOs ya Ukimwi Iringa imejaa Ila hata kugawa ndom kule haiendi inasubiri kutengeneza data fek
 
Ahaa kkumbe Kimboka wanauza. sawasawa napajua pale. Nilikua najiuliza wapi nitapata hii huduma chap chap. asante JF. Na ninyi wa Iringa hapo holiday inn jjiandaeni. kesho kutwa nitatia timu hapo. Mkuu na Mbeya wanapatikana wapi hawa wadudu ? Nina safari ya Tunduma j3.
 
serikal hawawezi piga stop hii biznez ,cz hata wakubwa nao wanajipatia huduma wakihitaji ,so hapo ni non stop biznez
 
serikal hawawezi piga stop hii biznez ,cz hata wakubwa nao wanajipatia huduma wakihitaji ,so hapo ni non stop biznez

Kwani si watu wa serkali wameoa ? Au hata wenye wake wanapata hii hudma haram ??
 
Sex Sells....

Kama hao wote wanaofanya ni kwa hiari na sio kwa kushurutishwa na wala sio wanafunzi au watoto sioni issue ipo wapi ili mradi wafanye kwenye maficho na sio barabarani na kusababisha kero kwa wengine
 
Kama buguruni kimboka na sinza dar,mjini Iringa ukahaba waziwazi tena huku ni zaidi ya dar ,ukahaba,ufuska inafanywa mchana kweupe pe.Nenda holiday in bar frelimo bei ni kuanzia 15000 na kuendelea hapo ni pamoja na room.pia kuna tetesi kuwepo madanguro ya siri maeneo mengi ikiwemo kihesa.serikali ihalalishe tu uuzaji wa papuchiii maana imefumbia macho suala hilo

Mimi Naona Iharalishwe Tu Wawe Wanalipa Na Kodi Mbona Tunapokea Misaada Ambayo Ndani Yake Kuna Kodi Za Machangudoa. ILA HAPA KIHESA NOMA NENDA MPAKA KONTENA LA RUCO PALE NDIO UWIII SOGEA MPAKA VIP JITUPE MPAKA RAHAPATE NDIO UFULO USISEME. ILA IRINGA UKIMWI NDIO HAUJI KUISHA.
 
Mimi Naona Iharalishwe Tu Wawe Wanalipa Na Kodi Mbona Tunapokea Misaada Ambayo Ndani Yake Kuna Kodi Za Machangudoa. ILA HAPA KIHESA NOMA NENDA MPAKA KONTENA LA RUCO PALE NDIO UWIII SOGEA MPAKA VIP JITUPE MPAKA RAHAPATE NDIO UFULO USISEME. ILA IRINGA UKIMWI NDIO HAUJI KUISHA.

Rahapate ndio wapi? Au ulimaanisha la parte?
 
Ni noma kwa maana gani? Mji gani hapa Tz hakuna malaya? Ukienda Shinyanga kuna eneo la bar inaitwa Papilo ni nyuma ya stand tu sa1 usiku wako kibaaoo. Ni karibu mikoa yote sidhani kama Iringa ni noma kwa kumaanisha noma

tatizo la shinyanga ukichelewa tu unakuta wazuri wote wamechukuliwa. he he he
 
Mkuu mbona sio huko tu! Hii biashara sasa hivi ni kila kona. We fikiria, unamtongoza msichana huku anaangalia mifuko yako suruali na hakatai,.
Huku mtaani mtu ambae kwa macho ukimwangalia unaweza kufikiri utamwanzaje, ukianzisha tu yeye anamalizia.

Hahaah
 
iringa noma,nilikuwa bar fulani napooza koo kakanifuata kademu kakaanza kunitongoza.huko ukimwi hauwezi isha
 
Back
Top Bottom