Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Duh! Haya bhana...mchumba wangu amefanya kazi kule mwaka wa 3 sasa, hataki kuacha kabisa hata baada ya kumtafutia kazi yenye kipato zaidi ya pale!! duh.
Duh! Haya bhana...mchumba wangu amefanya kazi kule mwaka wa 3 sasa, hataki kuacha kabisa hata baada ya kumtafutia kazi yenye kipato zaidi ya pale!! duh.
Kuna watu wanatumika na wafanyabiashara wachafu kumchafua A.S. AMON Maarufu kwa jina la Pataya mmiliki wa hotel za Land Mark zilizopo katika mikoa ya Dsm na Mby kuwa eti ni miongoni mwa wauza madawa ya kulevya nchini, hizi ni hujuma za kibiashara kwa Saul
Unamjua sana!! Nenda Tukuyu utapelekwa hadi Landmark Hotel ya tukuyu utalala bure wakati ukimsubiri.
ulintungulu , twesa tummenye sauli , lelo tubapilikisyege na abhangi ! Pamo papo kwa kukaja ?
acheni ujinga
SH Amon alipata utajiri wake kupitia almas Shinyanga
Dada yake alikua ameolewa na askari mlinzi wa pale, ambae alikua anaiba almasi ndani yamgodi na kuzificha katika kikopo ndani. Mzigo ulipokua wa kutosha, akamuita mdogo wake , akatoroka na kikopo mpaka zambia
Baada ya miaka kadhaa , ndio akarudi Mbeya na kuanza kufanya biashara za kufa mtu
Jamaa anayo hela, na wala haihusiani na madawa
Na ni kweli ni mzinzi, ana UKIMWI. So, haoni tabu kufungua suruali ukizingatia pesa anayo
hivi hawa TISS wanafanya nini mi naamini wanaweza kufanya mabadiliko wakiamua piga risasi tu hawa watu Kama china mbo wanaua raia wengine Wema tu
poleni sana
mchumba wangu amefanya kazi kule mwaka wa 3 sasa, hataki kuacha kabisa hata baada ya kumtafutia kazi yenye kipato zaidi ya pale!! duh.
Mnamezeshwa upuuzi sauli hizo biashara alifanya wewe ulikuwepo? Kuchafuana tu,fanyeni kazi acheni majungu watanzania msione mtu ana ghorofa basi knatafuta ya kusema.....nyambafu
Mma nakamo gwe,ambandu bha munjini ubamenye? Ukuti kilu umundu gwa maendeleo ikuulisya nkota? Saul ikubombi imbhombo,gwa mmasoko jura.