Kauli ya Rais imenizidisha mashaka, yaani Bandari itafungwa mitambo ya kuzuia Madawa ya kulevya? ina maana bandarini madawa yanapita?

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Tunapoamka na kujadili suala Bandarini, jamani tunaomba mtuelewe hakuna anaepinga uwekezwaji bandarini, sote yaani wote tunaitaji uwekezwaji tunautaka ndio maana mtu kama Mimi sifi Leo na Mzee wangu Leo na mama sifi wote wanakubali kabisa uwekezwaji.

Ila inapofika hatua tunaambiwa kwenye mkataba Kuna vifungi havipo sawa tunasema virekebishwe tu mambo yaende sawa.

Kuna kauli nimeikumbuka aliisema Mhe. Rais wetu mpendwa pale Arusha kwenye maadhimisho ya Siku ya madawa ya kulevya Duniani baada ya kumshuhudia Innocent baada ya kudungwa sindano ya madawa ya kulevya mbele yake, hakika lile igizo lilinitoa machozi hata mtoto wa sifi Leo yaani Hance nae alilia baada ya kuona mama akilia na Innocent akilia.

Mama alisema njia za madawa ni nyingi Zanzibari pia ni Moja ya lango, akaenda mbali zaidi na kusema endapo tutabinafusisha bandari patafungwa mitambo ambayo itasaidia kuzuia lango la madawa ya kulevya.

Hii ina maana hapo bandarini Kuna watu wanasafirisha madawa ya kulevya kupitia kwenye "content" Sasa Dp world watafunga mitambo ambayo itakuwa inanusa mpaka madawa ya kulevya na hayatapita tena.

Swali: Ulinzi wa bandarini unafanywa na nani? Hivi walinzi wa Tanzania mmekubali mitambo ipewe kazi zenu nyinyi mnafaida gani Duniani kama mnashindwa kazi hizi?

Mhe. Rais kama hivi ndivyo Mimi napongeza ubinafsishwaji ufanyike hata jeshi la polisi liuzwe!
 
Tunapoamka na kujadili suala Bandarini, jamani tunaomba mtuelewe hakuna anaepinga uwekezwaji bandarini, sote yaani wote tunaitaji uwekezwaji tunautaka ndio maana mtu kama Mimi sifi Leo na Mzee wangu Leo na mama sifi wote wanakubali kabisa uwekezwaji.
Kumbe ulijuaje?
 
Camera zipo bwana acha kukuza mambo. Tofauti ni kuwa madawa ya kulevya yanafichwa kwa ustadi mkubwa mno, inahitaji mitambo mingine separate
kwahiyo miaka yote hiyo tunapigana na madawa, hiyo mitambo haikuwepo? madawa yalikuwa yanajipitia tuuuu? unaelewa lakini?
 
kwahiyo miaka yote hiyo tunapigana na madawa, hiyo mitambo haikuwepo? madawa yalikuwa yanajipitia tuuuu? unaelewa lakini?

World is advancing so fast as criminals nao wanakuja na njia mpya kila siku za kuficha madawa.
Jmn kukamata hivi vitu si game, lazima uwe na technology latest na dedicated staff ambao wata think ahead of drug dealers.
Mitambo ipo ila sasa hiyo mitambo ni efficient ku combant current situation?
 
World is advancing so fast as criminals nao wanakuja na njia mpya kila siku za kuficha madawa.
Jmn kukamata hivi vitu si game, lazima uwe na technology latest na dedicated staff ambao wata think ahead of drug dealers.
Mitambo ipo ila sasa hiyo mitambo ni efficient ku combant current situation?
Kati ya mwejezaji anayetafuta faida na serikali yenye wajibu na jukum la kikatiba la kulinda watu wake unadhani nani ana wajibu zaidi wakuwajibika kwenye hilo?
 
Inasemekana boti hushusha shehena za madawa huko kwenye fukwe.Ni muda sana nasikia hivyo.Polisi akileta kiherehere,anamalizwa au kufukuzwa kazi.
 
World is advancing so fast as criminals nao wanakuja na njia mpya kila siku za kuficha madawa.
Jmn kukamata hivi vitu si game, lazima uwe na technology latest na dedicated staff ambao wata think ahead of drug dealers.
Mitambo ipo ila sasa hiyo mitambo ni efficient ku combant current situation?
Mkuu, kadri unavyotetea ndivyo unavyozidi kuonyesha madudu zaidi.

Kwa nini mitambo isiwe efficient?
 
Mkuu, kadri unavyotetea ndivyo unavyozidi kuonyesha madudu zaidi.

Kwa nini mitambo isiwe efficient?

You dont understand, sitetei by am sheding light hali iliyopo. Why sio effiecient hilo jibu wanalo idara husika, what were they thinking wkt wana nunua?
 
Unadhani hayapiti?

Ukitaka ulizia Antwep Belgium ndiyo yaongoza madawa kukamatwa
 
Kati ya mwejezaji anayetafuta faida na serikali yenye wajibu na jukum la kikatiba la kulinda watu wake unadhani nani ana wajibu zaidi wakuwajibika kwenye hilo?

Well huo ni wajibu wa serikali, binafsi i dont know dp world wantaongeza nini but serikal ina namna ya ku ensure hili
 
Kwamba hao wanaoendesha/kusimamia bandari wana mikono misafi. Au wakitaka kupitisha mizigo yao wanazima camera!!
Ukizingatia makubaliano hayaruhusu kuingiliwa kwa namna yoyote ile.
 
Tunapoamka na kujadili suala Bandarini, jamani tunaomba mtuelewe hakuna anaepinga uwekezwaji bandarini, sote yaani wote tunaitaji uwekezwaji tunautaka ndio maana mtu kama Mimi sifi Leo na Mzee wangu Leo na mama sifi wote wanakubali kabisa uwekezwaji.

Ila inapofika hatua tunaambiwa kwenye mkataba Kuna vifungi havipo sawa tunasema virekebishwe tu mambo yaende sawa.

Kuna kauli nimeikumbuka aliisema Mhe. Rais wetu mpendwa pale Arusha kwenye maadhimisho ya Siku ya madawa ya kulevya Duniani baada ya kumshuhudia Innocent baada ya kudungwa sindano ya madawa ya kulevya mbele yake, hakika lile igizo lilinitoa machozi hata mtoto wa sifi Leo yaani Hance nae alilia baada ya kuona mama akilia na Innocent akilia.

Mama alisema njia za madawa ni nyingi Zanzibari pia ni Moja ya lango, akaenda mbali zaidi na kusema endapo tutabinafusisha bandari patafungwa mitambo ambayo itasaidia kuzuia lango la madawa ya kulevya.

Hii ina maana hapo bandarini Kuna watu wanasafirisha madawa ya kulevya kupitia kwenye "content" Sasa Dp world watafunga mitambo ambayo itakuwa inanusa mpaka madawa ya kulevya na hayatapita tena.

Swali: Ulinzi wa bandarini unafanywa na nani? Hivi walinzi wa Tanzania mmekubali mitambo ipewe kazi zenu nyinyi mnafaida gani Duniani kama mnashindwa kazi hizi?

Mhe. Rais kama hivi ndivyo Mimi napongeza ubinafsishwaji ufanyike hata jeshi la polisi liuzwe!
Mamb ni mengi Nchi hii🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom