Mlonge au Moringa oleifera kwa kiingereza umekuwa ukijulikana kama mti wa miujiza kwa karne nyingi katika baadhi ya nchi za Afrika, Asia na katika nchi za Caribbean. Mti huu umeripotiwa kutibu zaidi ya magonjwa 300 ikiwemo magonjwa mbalimbali sugu.
MLONGE UNA:
1. Calcium mara 17 zaidi ya ile ya maziwa ya ng’ombe
2. Una vitamini C mara 7 zaidi ya ile ipatikanayo katika machungwa
3. Potasium mara 15 zaidi ya ile ya kwenye ndizi
4. Una vitamini A mara 10 zaidi ya ile ya kwenye karoti
5. Una protini nyingi mara 9 zaidi ya ile ya kwenye mtindi (Yogurt)
6. Una chrolophly (kemikali ya rangi ya kijani ipatikanayo katika mimea) mara 4 zaidi ya ile ya kwenye nyasi au majani ya ngano (wheatgrass)
7. Una madini chuma (iron) mara 25 zaidi ya yale ya kwenye Spinach
8. Una vitamini A mpaka Z,
9. Una Omega 3, 6, na 9
10. Una Amino Acid zile mhimu zaidi zinazohitajika na mwili
11. Una kiasi cha kutosha cha madini ya Zinc ambayo ni madini mhimu katika kuongeza homoni za kiume na nguvu za kiume kwa ujumla.
MBEGU ZA MLONGE:
- Mbegu zake hutumika kama kiuaji sumu na pia hutibu uvimbe. Hutibu maumivu ya kwenye mishipa, baridi yabisi, gauti, kukamaa mishipa, magonjwa ya ngono na majipu,malaria,shinikizo la juu La damu.
MLONGE NI TIBA NZURI KWA AFYA BORA.
Karibu PM kwa anayehitaji.
Ahsante.
View attachment 732163View attachment 732164View attachment 732170