Afrolink-Tz Consult Ltd
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 420
- 939
Wahitaji kusajili Microfinance|Microcredit company? Au ushauri na mwongozo? Check us email:info@afrolink.co. tz Call us 0777777766[ATTACH=full]1131933[/ATTACH]
Hapana Mkuu kuna Sheria mpya imetoka inatamka kuwa unapohitaji kufanya Biashara ya Kukopesha kwanza utaanza kwa kusajiri biashara either Kampuni au Business name kisha utaenda TRA kupata Tin then Brela kupata Leseni ya Biashara inagharimu laki 6 kisha baada ya hapo utaenda Bank kuu kupata Leseni amayo hughari laki 3 kwa Business name na laki 5 kwa Kampuni mtaji wanahitaji kuanzia milioni 20 na uanishe source ya capital pia watafanya assessment kisha utapata Leseni ntaattach vifungu kwenye regulationMkuu ikiwa nitaanza na mtaji wa 6M kwenye Microcredit halafu napata source nyingi ya pesa may be kutoka kwenye Kilimo/mifugo na kuongeza mtaji kama 2M hapo siluhusiwi?
Napenda kuchangia Kidogo kuhusu SACCOS ni kwamba kwa Mujibu wa Sheria mpya ya Huduma Ndogo za Fedha Microfinance Act 2018 imezigawa Taasisi katika Makundi ambapo huitwa Tier yaani kuna tier 1 2 na 3 amapo tier 1ni Microfinance ambazo hukopesha ila haziruhusiwi kupokea Akiba na Amana za Wateja kuna tier 2 ambapo tunapata SACCOS ambapo husimamiwa na Benk Kuu ila wamekasimu mamlaka ya Usimamizi kwa Tume ya Maendeleo ya Ushirika ambapo chini Luna Viongozi amabo husimamia SACCOs kwa level ya Mikoa wanaitwa Warajis Wasaidizi wa Mikoa na Wilaya ni Maafisa Ushirika hivyo ukihitaji kusajiri SACCO utawaona Maafisa Ushirika watakwambia uandae Documents kama vile Kidadisi Uchumi, Masharti, na Sera na mtaji wa kuanzia ni milioni 10 pia kuna tier 3 ambapo ni Vicoba na mtaji ni Million 5Dah.We jamaa muongo SACCOS zinasimamiwa na Mrajisi wa Halmashauri..Kinachotakiwa mnapeleka Katiba kwa Mrajis na majina ya wanachama basi mnasajili.... Hayo mambo ya BOT hayapo
Kwa hio nikiwa na five million nakuwa sisaidiki....hatari sana
Baaasi tuwaaachie wenye nguvu wapiteNdiyo Mkuu unabanwa kisheria kuwa mtaji wako bado mdogo. Maana hata hy mil 20 ni minimum capital ambayo inatakiwa isishuke hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
What if nikikopesha kimya kimya??
Baaasi tuwaaachie wenye nguvu wapite
Yeah umesema vyema kabisaNi suala la kujipanga kama una nia thabiti ya kuifanya biashara hii. Suala la mtaji waweza anza na biashara za aina nyingine na baada ya makusanyo mazuri ukasajili kampuni au ukawa watoa mtaji we mwenyewe binafsi
Jiwekeee
1. Malengo kuwa baada ya muda fulani nitafabya biashara hii
2. Jiwekee mikakati mbali mbali yenye kutekelezeka ktk kuhakikisha unapata mtaji kwa wakati uliopanga
3. Weka juhudi, umakini, weledi na ufanisi wa hali juu kwa biashara au kazi unayofanya sasa ukiwa na lengo kuu la kukusanya mtaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nchi ni ya kipumbav, kwa wenye mitaji midogo fanyeni biashara kimya kimya.
Usimwogope takataka yeyote
Usimwogope takataka yeyote.
Ukijifanya unafuata sheria nchi hii, kwanza HUTAWEZA pili UTAKUFA kwa PRESSURE.
Hahh dahHii nchi ni ya kipumbav, kwa wenye mitaji midogo fanyeni biashara kimya kimya.
Usimwogope takataka yeyote
Na ikiwa jina lako limehusisha neno FINANCE badala ya hayo hapo juu? Hii ikoje