Afrolink-Tz Consult Ltd
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 417
- 935
Ukirejea ktk sheria inayotoa mwongozo tunaojadili hapa ni wa taasisi ambazo ni *Non-Depositing Taking* sasa utaona ya kwamba
1. Kampuni na watu binafsi hawa wanaotoa mikopo wapo ktk kundi no 2 ie Tier 2
2. Kampuni au watu binafsi hawa wanaotoa mikopo inatambulika ni mikopo ya muda mfupi na pia ni ya dharula
3. Pia ktk kundi hili ie Tier 2 wapo ktk *high risk* ya kupotez pesa/mtaji kwa wateja kutokana na wateja husika hawana dhamana za maana
4. Wamewekwa kama mbadala wa "Tier 1 financial institutions" kusaidia kundi la wasio na sifa za kukopesheka ktk mabenki
5. Hivyo bhasi kwa hivyo vipengele no 1 hadi 4 wanakubalika kutoa mkopo kwa riba zaidi ya hy ya 17% kwani hata mikopo yao wanayotoa ni ya muda mfupi mfupi tofauti na mabenk ambayo mikopo yao ni ya muda mrefu.
(Tier 1 interest is charged annually VS Tier 2 interest is charged monthly)
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Kampuni na watu binafsi hawa wanaotoa mikopo wapo ktk kundi no 2 ie Tier 2
2. Kampuni au watu binafsi hawa wanaotoa mikopo inatambulika ni mikopo ya muda mfupi na pia ni ya dharula
3. Pia ktk kundi hili ie Tier 2 wapo ktk *high risk* ya kupotez pesa/mtaji kwa wateja kutokana na wateja husika hawana dhamana za maana
4. Wamewekwa kama mbadala wa "Tier 1 financial institutions" kusaidia kundi la wasio na sifa za kukopesheka ktk mabenki
5. Hivyo bhasi kwa hivyo vipengele no 1 hadi 4 wanakubalika kutoa mkopo kwa riba zaidi ya hy ya 17% kwani hata mikopo yao wanayotoa ni ya muda mfupi mfupi tofauti na mabenk ambayo mikopo yao ni ya muda mrefu.
(Tier 1 interest is charged annually VS Tier 2 interest is charged monthly)
Nafasi ya Bank kuu ya kuregulate viwango vya riba kwa taasisi za kifedha inakuaje. Tunatambua bank kuu iko responsible nakupangilia viwango vya riba kwa bank zote za biashara. Kama sijakosea, miezi michache iliyopita bank kuu ilipunguza riba moka 17%.
Je..utararibu huu hauzihusu micro finances?
Sent using Jamii Forums mobile app