Biashara ya Kutoa Mikopo (Microfinance): Hatua, Taratibu za Kufuata na Ushauri wa Uendeshaji

Ukirejea ktk sheria inayotoa mwongozo tunaojadili hapa ni wa taasisi ambazo ni *Non-Depositing Taking* sasa utaona ya kwamba
1. Kampuni na watu binafsi hawa wanaotoa mikopo wapo ktk kundi no 2 ie Tier 2
2. Kampuni au watu binafsi hawa wanaotoa mikopo inatambulika ni mikopo ya muda mfupi na pia ni ya dharula
3. Pia ktk kundi hili ie Tier 2 wapo ktk *high risk* ya kupotez pesa/mtaji kwa wateja kutokana na wateja husika hawana dhamana za maana
4. Wamewekwa kama mbadala wa "Tier 1 financial institutions" kusaidia kundi la wasio na sifa za kukopesheka ktk mabenki
5. Hivyo bhasi kwa hivyo vipengele no 1 hadi 4 wanakubalika kutoa mkopo kwa riba zaidi ya hy ya 17% kwani hata mikopo yao wanayotoa ni ya muda mfupi mfupi tofauti na mabenk ambayo mikopo yao ni ya muda mrefu.

(Tier 1 interest is charged annually VS Tier 2 interest is charged monthly)
Nafasi ya Bank kuu ya kuregulate viwango vya riba kwa taasisi za kifedha inakuaje. Tunatambua bank kuu iko responsible nakupangilia viwango vya riba kwa bank zote za biashara. Kama sijakosea, miezi michache iliyopita bank kuu ilipunguza riba moka 17%.

Je..utararibu huu hauzihusu micro finances?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru kwa majibu mazuri chief.

Naomba nikuulize swala la mwisho mkuu, kuna kitu kinaitwa hire purchasing au asset financing. Kama wanachofanya hawa efta. Kutoa mikopo ya vitendea kazi, mashine na equipments.

Sheria hii itawalazimu pia kubadili jina la taasisi na kuwa na neno credit au financial services?
 
Ahsante Mkuu, na pia nashukuru kwa maswali yako yenye tija.

Ama tukirejea ktk Sheria hii inayohusu hizi taasisi za kukopesha ktk kipengele cha biashara ambazo zinaruhusiwa kufanywa na kampuni zilizopo Tier 2, section 21(e) "operations of micro leasing facilities, micro finance related hire-purchase and arrangement of consortium lending and supervison of credit schemes" ina maana hata taasisi kama EFTA watalazimika kufanyia marekebisho jina la kampuni kwa kuweka neno lenye asili ya fedha ie credit, finance, Microcredit, Microfinance au Financial Services.

Watafanya hivi kwa sababu wamatoa mikopo ya fedha ktk muundo wa vifaa ambayo kihalisia wanakukodisha ilhali unalipa kdg kdg then ukishamaliza kulipa ule mkopo kile kifaa kinakuwa mali yako
Nashukuru kwa majibu mazuri chief.

Naomba nikuulize swala la mwisho mkuu... kuna kitu kinaitwa hire purchasing, au asset financing. Kama wanachofanya hawa efta. Kutoa mikopo ya vitendea kazi, mashine na equipments.

Sheria hii itawalazimu pia kubadili jina la taasisi na kuwa na neno credit au financial services?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuzingatia sheria ya mikopo kifungu cha 51 sehemu ya 56 Ukusanyaji wa madeni (1), ( 2) ukijumuisha na sera ya mikopo kuna taratibu zimewekwa ktk kumdai mdeni wako. Miongoni mwa taratibu ni

i. Kumpa notisi ya siku 14 mdeni wako juu ya kulipa deni baada ya hapo taratibu za kukusanya deni zitachukua mkondo wake
ii. Usimtishe, mtukane, kumwambia maneno mabaya, lugha chafu et al hadi no iv.

Sasa basi baada ya taratibu hizo kushindika utatakiwa kufuata sheria kukamata mali zake na ukifanikiwa ina maana utatangaza mnada wa hadhara juu ya uuzaji wa mali ambazo aliweka dhamana na sio kuziuza au kuchukua mwenyewe kinyemela.

Riba ni ile iwe reasonable.

(Wanasheria na debt collectors and auctioners twaomba waje kufafanua vema zaidi)

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru mkuu kwa ufafanuzi
 
Mtoa mada una changanya vitu, kuna aina mbili za mtaji binafsi wa sheria za mikopo. ya kwanza ndio hiyo inayoingia tier 2 ambayo ni micro credit, microfinance, n.k (hapa uko sahihi) . kuna aina ya pili ambayo ni sole lending inayoingia kwenye tier namba 4 ikijumuishwa na vicoba n.k. (hii ni kwa wakopeshaji binafsi wasiokuwa na makampuni, mtu mmoja na wenyewe wanasajiliwa) ambao mtaji wao ni chini ya milioni 20.
 
Kuna wakopeshaji binafsi wasiokuwa na mtaji wa milioni 20 na hawana makampuni, hawa wanachotakiwa ni kujisajili kama sole lending BOT ili watambulike kisheria kama mwongozo wa sheria za fedha unavyotaka. (soma tier 4 wanaostahili kujisajili)
 
Mgawanyo Wa Tier Kwa Mujibu Wa Sheria Ndogo Ndogo Za Fedha. 1. Banking ( Capital Minimum 200m) 2. Microfinance( Capital mnm 20m) 3. Saccos ( Capital Minimum 5m) 4. Viccoba, Sole Lending ( Capital Below 5m)
 
Mgawanyo Wa Tier Kwa Mujibu Wa Sheria Ndogo Ndogo Za Fedha. 1. Banking ( Capital Minimum 200m) 2. Microfinance( Capital mnm 20m) 3. Saccos ( Capital Minimum 5m) 4. Viccoba, Sole Lending ( Capital Below 5m)
 
kuna wakopeshaji binafsi wasiokuwa na mtaji wa milioni 20 na hawana makampuni, hawa wanachotakiwa ni kujisajili kama sole lending BOT ili watambulike kisheria kama mwongozo wa sheria za fedha unavyotaka. (soma tier 4 wanaostahili kujisajili)
Hebu fafanua hizo regulations nimeweka copy ya regulations. Pia vema ukawa wacopy vifungu ili tuwaondoe mashaka wachangiaji wengine.

20200319_082132.jpeg
20200319_083146.jpeg
20200319_082814.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo muongozo wa sheria ndogo ndogo za fedha tulipewa na maofisa wa BOT kwenye semina, sikusoma mitandaoni, mimi niko SACCOS, na walitumbia mtaji wetu ukikua tutavushwa daraja kutoka saccos kwenda microfinance, hizi sheria zilipitishwa na bunge kwa hati ya dharura, SACCOS tuko tier 3, tier 4 ndio kuna viccoba na sole lenders. na mpaka viccoba vinasajiliwa, tafuta sheria ndogo ndogo za fedha zilizopitishwa na bunge kwa hati ya dharura mwaka 1918.
 
Samahani Mkuu Laki Si Pesa

1. Kuna mambo nadhani ktk semina hy huenda hukuyaelewa au uliyaelewa zaidi ya usahihi wake
2. Hapa twajadili sheria inayotumika sasa 2019 na sio ya 1918
3. Mada hii inajadili Tier 2 na sio Tier 1,3 na 4(Hizi nazo tukipata wasaa na uzima tutaleta makala yake) ambako huko tutaangalia hadi uvushwaji wa madaraja au kushushwa kwa madaraja lkn kwa ushahidi wa kisheria na miongozo iliyopo
4. Weka hoja zako zikiwa na sapoti ya vielelezo vya masuala haya yanayojadiliwa hapa

Niwie radhi kama nimekukwaza
Huo muongozo wa sheria ndogo ndogo za fedha tulipewa na maofisa wa BOT kwenye semina, sikusoma mitandaoni, mimi niko SACCOS, na walitumbia mtaji wetu ukikua tutavushwa daraja kutoka saccos kwenda microfinance, hizi sheria zilipitishwa na bunge kwa hati ya dharura, SACCOS tuko tier 3, tier 4 ndio kuna viccoba na sole lenders. na mpaka viccoba vinasajiliwa, tafuta sheria ndogo ndogo za fedha zilizopitishwa na bunge kwa hati ya dharura mwaka 1918.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za leo wadau,

Naomba kufahamishwa taratibu za kuanzisha Microfinance.

Naomba kujua mtaji kianzio, namna zinavyofanya kazi, aina ya wateja na mengineyo ambayo sijayataja hapa.

NAOMBA KUWASILISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom