Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,387
- 9,756
Upo Nchi Gani? Hivi unajua kutizama Mechi Banda Umiza ni 1000 iwe Mechi Moja double au Tatu kwa pamoja, na idadi ya watizamaji sometimes hufikia hata 100. Endapo wakiingia wateja 30 unaingiza elfu elfu 30 sasa kutizama Mpira ni gb kama moja au mbili.Ni too expensive