Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,745
- 2,338
Hapa naweza kucheki channel 2 kwa dekoda moja, kwenye dekoda niweke supersport 3 na kwenye laptop nicheki supersport 4 ???
Account moja ya DSTV now inasemekana(sijajaribu) inaweza tumika mpaka 4 devices simultaneously excluding ile inayotumia decoder...namaanisha wale wanao stream!
Account niliyonayo inatumika na watu wanne ambacho sijawa na uhakika nacho ni kama tunatazama simultaneously maana kila mtu ana interest zake!