Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,682
- 8,809
thx mexicana na pm nimeona nimekuuliza tena please usichoke kunielekeza.
kwa hapa dsm nimeambiwa kg 1 ni sh 550 sasa kwa bei hiyo pamoja na usafiri naona km profit itakuwa finyu
Hiyo ndio biashara na ndio " Reality " Unajua ku-bargain??
Uwezo wako wa kushawish ndio faida yako la sivyo rudi ofisini.