Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 501
- 991
Habari wanajamvi..
Nimejaribu kutembelea miji, manispaa, na majiji mbalimbali kwakweli kuna utitiri mkubwa sana kwa sasa wa maduka yanayouza jezi mbalimbali za timu za mpira wa miguu.
Kwa utafiti wangu mdogo nmeona jezi hizi zinapatikana kwa bei tofauti kutokana na eneo ila zina range kwenye 13k-25k kwenye maeneo mengi na jezi zinazouzwa sanaa ni za juu(t-shirt).
Ninachojiuliza ni kitu gani kimefanya biashara hii kukua kwa kasi kwenye miaka ya karibuni na ni wapi ambapo jezi hizi zinapotengenezwa na Je wahusika(timu za mpira wa miguu) wananufaika vipi na biashara hii.?
Nimejaribu kutembelea miji, manispaa, na majiji mbalimbali kwakweli kuna utitiri mkubwa sana kwa sasa wa maduka yanayouza jezi mbalimbali za timu za mpira wa miguu.
Kwa utafiti wangu mdogo nmeona jezi hizi zinapatikana kwa bei tofauti kutokana na eneo ila zina range kwenye 13k-25k kwenye maeneo mengi na jezi zinazouzwa sanaa ni za juu(t-shirt).
Ninachojiuliza ni kitu gani kimefanya biashara hii kukua kwa kasi kwenye miaka ya karibuni na ni wapi ambapo jezi hizi zinapotengenezwa na Je wahusika(timu za mpira wa miguu) wananufaika vipi na biashara hii.?