Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

Asee hapa umesema juzi tu apa kabla ya sikukuu ya idi nimeingia k/koo kwamambo yangu mengine tu sinazikuta zimemwagwa kwene meza bei 6000 ,nikasema hizi Mwanjelwa situnajumlishiwa kwa 8000.? Nikajikusanyia kwa uwezo wangu kufika nazo Mbeya nami nikauza teni teni tu chap kwa haraka..
Safiiii mzee kuchangamkia fursa ni muhmu hii biashara sahv inatoa watu wengi sanaa
 
Mimi kununua Jezi ya bongo sidhani kama nitaweza maana nyingi ni feki utakuta matone tone ionekane nzito ,bora kama nitikata niagize kwenye websites official za timu nipate kitu Og kwa laki 4 au 2.
 
Mimi kununua Jezi ya bongo sidhani kama nitaweza maana nyingi ni feki utakuta matone tone ionekane nzito ,bora kama nitikata niagize kwenye websites official za timu nipate kitu Og kwa laki 4 au 2.
Aahhh mzee laki 2 or 4 mbona kubwa sana hata km kitu ni OG
 
Kwa Football mimi jezi nzuri kwangu ni
Man city light blue.
Man united ile ya kijani.
New castle.

NBA....ninazo LAKERS na Brooklyn.....
 
Back
Top Bottom