Biashara ya Fei Toto na Azam ilikuwa kete ngumu kwa Yanga

Smart codetz

Senior Member
Jan 25, 2023
190
753
Kwa mujibu wa Ricardo Momo Feisal Salum anapokea Mshahara wa 16M kwa mwezi familia yake nzima ikiwemo mama yake wamepewa kazi kwenye kampuni la Bkharesa Group Of Company na Mshahara si chini ya 2.5M.

Wazazi wake wamejengewa nyumba ikiwa ni sehemu ya kumshawishi ajiunge na Azam.

Dirisha lilopita.
Kwenye mkataba wa Feisal kuna kipengele kua kama atauzwa kwenda club yoyote ya ndani basi young Africans itanufaika kwa kupewa 1B za kitanzania.

Pia Feisal ana Bonus kila goli kumi atakazoifungia Azam Fc kwenye mashindano yote.

Atapewa 25M na Mshahara wake analipwa kama jeshi kati Kati ya mwezi (8M) na mwishi 8M huku akiwa na bonus ya 1M per game na 2M per big game achana na bonus za kufunga na Assit.

Kijana ilikua haki tu kuondoka Young Africans haya ni maisha.

20240511_134948.jpg
 
Kwa mujibu wa Ricardo Momo Feisal Salum anapokea Mshahara wa 16M kwa mwezi familia yake nzima ikiwemo mama yake wamepewa kazi kwenye kampuni la Bkharesa Group Of Company na Mshahara si chini ya 2.5M
Wazazi wake wamejengewa nyumba ikiwa ni sehemu ya kumshawishi ajiunge na Azam...
dirisha lilopita.
Kwenye mkataba wa Feisal kuna kipengele kua kama atauzwa kwenda club yoyote ya ndani basi young Africans itanufaika kwa kupewa 1B za kitanzania (Soka letu😅).
Pia Feisal ana Bonus kila goli kumi atakazoifungia Azam Fc kwenye mashindano yote......
Atapewa 25M na Mshahara wake analipwa kama jeshi kati Kati ya mwezi (8M) na mwishi 8M huku akiwa na bonus ya 1M per game na 2M per big game achana na bonus za kufunga na Assit.

Kijana ilikua haki tu kuondoka Young Africans haya ni maisha.

View attachment 2987828
Yanga ilipewa ndege na rais, kwenda nayo Algeria, ikawasubiri halafu ikawarudisha. Gharama yake ni 300m.
Hiyo contract haina thamani ya 300m (labda kama umesahau signing fees ambazo siyo za kutoa ajira kwa familia)
 
Kama Azam wamefanya hivyo ni wajinga kwenye mpira hawajui value for money.

Kwa mshahara huo na benefits hizo wangesogea Congo hapo ama nchi za west africa wangepata bonge la mchezaji.

Timu kama Mazembe, Enyimba ,Asec mimosas zina watu kibao wanaujua kuliko Fei toto hawalipwi hivyo na wala hawapati hizo benefits
 
Kama Azam wamefanya hivyo ni wajinga kwenye mpira hawajui value for money.

Kwa mshahara huo na benefits hizo wangesogea Congo hapo ama nchi za west africa wangepata bonge la mchezaji.

Asec mimosas ina watu kibao wanaujua kweli kweli hawalipwi hawapati hizo benefits
Kibu anataka 300m signing na 15m per month.
 
Ustukane ..ni pesa ya wazanzibari walio chuma Huko bara wakaamua kuwalipa wanzarzibar ...kwani Shida ipo wapi? Kwani hukuona aliletetewa hadi na......Hivyo ukanda , udini na ukabila ni ngum mno kuisha kwa watu wenye level flan ya Elimu.
Kama Azam wamefanya hivyo ni wajinga kwenye mpira hawajui value for money.

Kwa mshahara huo na benefits hizo wangesogea Congo hapo ama nchi za west africa wangepata bonge la mchezaji.

Timu kama Mazembe, Enyimba ,Asec mimosas zina watu kibao wanaujua kuliko Fei toto hawalipwi hivyo na wala hawapati hizo benefits
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kama Azam wamefanya hivyo ni wajinga kwenye mpira hawajui value for money.

Kwa mshahara huo na benefits hizo wangesogea Congo hapo ama nchi za west africa wangepata bonge la mchezaji.

Timu kama Mazembe, Enyimba ,Asec mimosas zina watu kibao wanaujua kuliko Fei toto hawalipwi hivyo na wala hawapati hizo benefits
Wajinga wana club mpya ina uwanja wake wa mpira? Wamiliki wa Azam hawajui value of money? Hahaha. We chukulia tu kuwa
Hawakutaka mcongo wala mmisri, wanao wachezaji wa nje, wamemtaka mzanzibari na pesa ibaki kwa wazanzibari.
 
Wajinga wana club mpya ina uwanja wake wa mpira? Wamiliki wa Azam hawajui value of money? Hahaha. We chukulia tu kuwa
Hawakutaka mcongo wala mmisri, wanao wachezaji wa nje, wamemtaka mzanzibari na pesa ibaki kwa wazanzibari.

Unaweza ukawa na uwanja ila bado uwe na ujinga kwenye manunuzi yenye value for money

Kuhusu uwanja kuna vilabu vikubwa kibao havina uwanja wao wa kuchezea mechi zao mfano

Mamelodi sundowns yenyewe haina uwanja wake.

Esperence yenyewe haina uwanja wake

Al ahly yenyewe haina uwanja wake wanakodi uwanja wa serikali ya misri

Ac milan wenyewe hawana uwanja wake

Inter milan yenyewe haina uwanja wake.

Jiulize Azam pamoja ya kuwa na uwanja wake je anawazidi nini Simba na Yanga ?

Ama azam anamzidi nini Mamelodi sundowns, Esperence, waydad ama Al ahly ambaye hana uwanja wake ?

Kumiliki uwanja wako sio kipimo kwamba wewe ni timu yenye mafanikio.

Mapato ya simba na yanga kipesa kwa mwaka ni makubwa kuliko azam . Uhalisia hata bakhressa mwenyewe anamuonea wivu Mo dewji kuendesha simba.

Ile nembo ya sportpesa tu kukaa mbele ya jezi ya simba ama yanga inaingiza pesa nyingi kwa simba na yanga kuliko mapato ambayo azam anaingiza kwenye uwanja wake mwaka mzima

Azam mwenyewe anamwaga mahela kwa yanga na simba maana ndio wenye mashabiki na mafanikio
Screenshot_20240511-150408_Firefox.jpg
 
Unaweza ukawa na uwanja ila bado uwe na ujinga kwenye manunuzi yenye value for money

Kuhusu uwanja kuna vilabu vikubwa kibao havina uwanja wao wa kuchezea mechi zao mfano

Mamelodi sundowns yenyewe haina uwanja wake.

Esperence yenyewe haina uwanja wake

Al ahly yenyewe haina uwanja wake wanakodi uwanja wa serikali ya misri

Ac milan wenyewe hawana uwanja wake

Inter milan yenyewe haina uwanja wake.

Jiulize Azam pamoja ya kuwa na uwanja wake je anawazidi nini Simba na Yanga ?

Ama azam anamzidi nini Mamelodi sundowns ambaye hana uwanja wake ?
Aliyewaita Azam wajinga si Mamelod wala Ac milani.
 
Aliyewaita Azam wajinga si Mamelod wala Ac milani.

Timu makini huwa inawekeza kwa kujenga brand ya timu. Wana focus na Timu itwae mataji ili ipate mashabiki wengi hasa watoto wakuwe nayo.

Timu bila mashabiki wala kutwaa makombe inakuwa haina faida hata kama ikimiliki ndege na migodi ya dhahabu.

Azam hawezi kupata mashabiki kwa kutegemea kujenga viwanja.

Wenzake simba na yanga wamemuacha mbali sababu wanawekeza kwa kuwapa mashabiki wanachotaka..makombe na matokeo ya uwanjani.

Ndio maana hata hao kina mamelodi, al ahly, esperence hawajisumbui kujenga viwanjaa maana wanajua sio ambacho mashabiki wanataka
 
Timu makini huwa inawekeza kwa kujenga brand ya timu. Wana focus na Timu itwae mataji ili ipate mashabiki wengi hasa watoto wakuwe nayo.

Timu bila mashabiki wala kutwaa makombe inakuwa haina faida hata kama ikimiliki ndege na migodi ya dhahabu.

Azam hawezi kupata mashabiki kwa kutegemea kujenga viwanja.

Wenzake simba na yanga wamemuacha mbali sababu wanawekeza kwa kuwapa mashabiki wanachotaka..makombe na matokeo ya uwanjani.

Ndio maana hata hao kina mamelodi, al ahly, esperence hawajisumbui kujenga viwanjaa maana wanajua sio ambacho mashabiki wanataka
Kuifananisha Azam na Simba au Yanga inaonyesha namna ambavyo wamiliki wake walivyo, timu bado kinda kabisa kwenye soka la Tanzania achilia mbali Africa and yet unazungumza kuhusu wao kwa kuwalinganisha na magwiji. Ungekuwa umewalinganisha na Namungo au Ihefu na kuwaita wajinga ningekuelewa.
 
Back
Top Bottom