Mr Alpha
Senior Member
- Jul 31, 2018
- 195
- 522
Ukweli usemwe tu Mayele na Fei Toto ndio walioileta Yanga kwenye ramani ya soka la kimataifa, kabla yao kwa miaka mingi yanga ilikua mchicha mwiba timu zilikuwa zinajipigia tu
Najua mashabiki maandazi watoto wa juz walioanza kushabikia mpira juzi hawaez jua watasema chambuzi la CAF nazingua, sisi wakongwe wala hatushangai tunajua walioileta Yanga mjini ni kina nani
Kabla ya Mayele na Fei Toto kama sikosei simba ilishachukua ubingwa karibu mara tano mfululizo, ilifikia mahali simba inatafuta mtani wa jadi Afrika Kusini nk hata klabu bingwa Yanga ilikuwa inaishia hatua ya awali kabisa ilikua haifik hata makundi
Hawa jamaa waliipigania sana Yanga kwa jasho na damu ila inaonekana yanga badala ya kuwajengea masanamu ya heshima imewatupia majini
View attachment 2926516
Najua mashabiki maandazi watoto wa juz walioanza kushabikia mpira juzi hawaez jua watasema chambuzi la CAF nazingua, sisi wakongwe wala hatushangai tunajua walioileta Yanga mjini ni kina nani
Kabla ya Mayele na Fei Toto kama sikosei simba ilishachukua ubingwa karibu mara tano mfululizo, ilifikia mahali simba inatafuta mtani wa jadi Afrika Kusini nk hata klabu bingwa Yanga ilikuwa inaishia hatua ya awali kabisa ilikua haifik hata makundi
Hawa jamaa waliipigania sana Yanga kwa jasho na damu ila inaonekana yanga badala ya kuwajengea masanamu ya heshima imewatupia majini
View attachment 2926516