Mfungaji Bora Apewe Fei Toto Salumu( FTS)

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,580
4,827
Tunatakiwa kuiga nchi za waarabu na uingereza wanavyofanya kuwapa kipaumbele wachezaji wao wa ndani.

Nchi za waarabu wameenda mbali zaidi, hata mishahara ni ngumu sana kufikia mshahara wa mzawa haijalishi mkataba umesainiwa lini.

Ngozi nyeusi kuna namna inashida hasa watizedi, hatuna hulka ya kuthamini vya kwetu , ndio utakuta Aziz Ki alikuwa anakula 20M huku Fei Mil 4 , stupide kabisa. Fei made great decision in his career path and in searching of his identity!

Ufungaji bora uende kwa Fei Toto ikiwa njia moja Wapo ku promote vipaji vya ndani na kupaisha majina ya wachezaji wa ndani.

Mali yoyote atakayochuma Fei itabaki Tanzania na mali ya mgeni atapeleka kwao , hii ndio sera ya Uk na Arabs kwenye favoritism ya mzawa.

Fei apongezwe pamoja na kukaa nje muda mrefu but jamaa anajua game . SSC mali hiyo , kama mtaendelea kukimbizana na Chama mchezaji ambae hauziki tena nje ya Tanzania shauri yenu.

Dau la Fei toto limepanda kuliko angeendelea kupakwa shombo la Jangwani. Guys this is big lesson in life , hata kwenye maisha ya kawaida, HESHIMU maamuzi yako unayoyaamin at any COST, kuna thin line kati ya MAFANIKIO na MAAMUZI yenye Confidence .

Kama Fei angesalia Yanga , possibly hata dau lake la kumuuza lingekuwa la Kawaida.

Napenda snaa kuona vijana wa TZ wakionesha ushindani kwa wageni wanaolipwa millions of TZS na wakati mwingine hawana deliverable z maana. Mfano Mikison anakula more than 20M , for what ? Stupide kabisa!

SAFI SANA FEI, Mimi ni Yanga but utaifa kwanza na umetupa Heshima wa TZ. All the best Feisal Salum kwenye career path yako ya professional football !
 
Kumbe kina Ronaldo, Mane, Neymar Jr ni warabu hee? Maana hao ndo highest paid footballers huko uarabuni.
Football is all about fair play, huu unaouleta hapa ni ubaguzi na haufai michezoni, mshindi apatikane kwa uwezo wake na sio kwa utaifa wake..
Hopeless kabisaa wewe
 
Kumbe kina Ronaldo, Mane, Neymar Jr ni warabu hee? Maana hao ndo highest paid football huko uarabuni.
Football is all about fair play, huu unaouleta hapa ni ubaguzi na haufai michezoni, mshindi apatikane kwa uwezo wake na sio kwa utaifa wake..
Hopeless kabisaa wewe

Wewe jiongeze, usiwe sna low mind , hao wengine ni very special tena snaa that is why

Sikuwa na maana even if you are not Making so ulipwe vema kwa kuwa ni mzawa, kaka learn to think
 
Tunatakiwa kuiga nchi za waarabu na uingereza wanavyofanya kuwapa kipaumbele wachezaji wao wa ndani.

Nchi za waarabu wameenda mbali zaidi, hata mishahara ni ngumu sana kufikia mshahara wa mzawa haijalishi mkataba umesainiwa lini.

Ngozi nyeusi kuna namna inashida hasa watizedi, hatuna hulka ya kuthamini vya kwetu , ndio utakuta Aziz Ki alikuwa anakula 20M huku Fei Mil 4 , stupide kabisa. Fei made great decision in his career path and in searching of his identity!

Ufungaji bora uende kwa Fei Toto ikiwa njia moja Wapo ku promote vipaji vya ndani na kupaisha majina ya wachezaji wa ndani.

Mali yoyote atakayochuma Fei itabaki Tanzania na mali ya mgeni atapeleka kwao , hii ndio sera ya Uk na Arabs kwenye favoritism ya mzawa.

Fei apongezwe pamoja na kukaa nje muda mrefu but jamaa anajua game . SSC mali hiyo , kama mtaendelea kukimbizana na Chama mchezaji ambae hauziki tena nje ya Tanzania shauri yenu.

Dau la Fei toto limepanda kuliko angeendelea kupakwa shombo la Jangwani. Guys this is big lesson in life , hata kwenye maisha ya kawaida, HESHIMU maamuzi yako unayoyaamin at any COST, kuna thin line kati ya MAFANIKIO na MAAMUZI yenye Confidence .

Kama Fei angesalia Yanga , possibly hata dau lake la kumuuza lingekuwa la Kawaida.

Napenda snaa kuona vijana wa TZ wakionesha ushindani kwa wageni wanaolipwa millions of TZS na wakati mwingine hawana deliverable z maana. Mfano Mikison anakula more than 20M , for what ? Stupide kabisa!

SAFI SANA FEI, Mimi ni Yanga but utaifa kwanza na umetupa Heshima wa TZ. All the best Feisal Salum kwenye career path yako ya professional football !
Zimebaki mechi ngapi kwani
 
Kolo kwenye one and two
downloadfile-1.jpg
downloadfile-1.jpg
 
Yaani Mashabiki waSimba wamebaki kushabikia vitu vya kipumbavu..,subiri wamalize mechi zoote ndio uje utie huruma humu, bado mechi mojamoja😁
 
Wewe jiongeze, usiwe sna low mind , hao wengine ni very special tena snaa that is why

Sikuwa na maana even if you are not Making so ulipwe vema kwa kuwa ni mzawa, kaka learn to think
Ligi ya misri mnigeria Junior Ajay ndio alikua analipwa sana,sijui now nani but nahisi modest..
 
Tunatakiwa kuiga nchi za waarabu na uingereza wanavyofanya kuwapa kipaumbele wachezaji wao wa ndani.

Nchi za waarabu wameenda mbali zaidi, hata mishahara ni ngumu sana kufikia mshahara wa mzawa haijalishi mkataba umesainiwa lini.

Ngozi nyeusi kuna namna inashida hasa watizedi, hatuna hulka ya kuthamini vya kwetu , ndio utakuta Aziz Ki alikuwa anakula 20M huku Fei Mil 4 , stupide kabisa. Fei made great decision in his career path and in searching of his identity!

Ufungaji bora uende kwa Fei Toto ikiwa njia moja Wapo ku promote vipaji vya ndani na kupaisha majina ya wachezaji wa ndani.

Mali yoyote atakayochuma Fei itabaki Tanzania na mali ya mgeni atapeleka kwao , hii ndio sera ya Uk na Arabs kwenye favoritism ya mzawa.

Fei apongezwe pamoja na kukaa nje muda mrefu but jamaa anajua game . SSC mali hiyo , kama mtaendelea kukimbizana na Chama mchezaji ambae hauziki tena nje ya Tanzania shauri yenu.

Dau la Fei toto limepanda kuliko angeendelea kupakwa shombo la Jangwani. Guys this is big lesson in life , hata kwenye maisha ya kawaida, HESHIMU maamuzi yako unayoyaamin at any COST, kuna thin line kati ya MAFANIKIO na MAAMUZI yenye Confidence .

Kama Fei angesalia Yanga , possibly hata dau lake la kumuuza lingekuwa la Kawaida.

Napenda snaa kuona vijana wa TZ wakionesha ushindani kwa wageni wanaolipwa millions of TZS na wakati mwingine hawana deliverable z maana. Mfano Mikison anakula more than 20M , for what ? Stupide kabisa!

SAFI SANA FEI, Mimi ni Yanga but utaifa kwanza na umetupa Heshima wa TZ. All the best Feisal Salum kwenye career path yako ya professional football !
Chai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom