Mr Benja
Member
- May 28, 2018
- 44
- 40
Awali ya yote Napenda Kushukuru na Kupongeza Jukwaa kwa Mawazo Elekezi.
Naomba nielimishwe/nijulishwe juu ya Biashara ya Airtel money branch kwa ujumla, ( faida na changamoto zake kubwa, Uuzaji wa miamala (kwa mawakala na wateja wa kawaida), kusajili laini, kukamilsha usajil, kutengeneza till za Airtel money, Office equipments,) nakadhalika.
Natamani kusikia kwa mtu anaefanya hii biashara, Utaratibu wake ukoje?, secrets behind business, na Mtaji wa kiasi gani unaweza kuanza nao kwa kufungua Airtel money branch?,
inawezakana niko too general stilll bt in anutshell I hope mtanisaidia Wandugu.
View attachment 1620153
Naomba nielimishwe/nijulishwe juu ya Biashara ya Airtel money branch kwa ujumla, ( faida na changamoto zake kubwa, Uuzaji wa miamala (kwa mawakala na wateja wa kawaida), kusajili laini, kukamilsha usajil, kutengeneza till za Airtel money, Office equipments,) nakadhalika.
Natamani kusikia kwa mtu anaefanya hii biashara, Utaratibu wake ukoje?, secrets behind business, na Mtaji wa kiasi gani unaweza kuanza nao kwa kufungua Airtel money branch?,
inawezakana niko too general stilll bt in anutshell I hope mtanisaidia Wandugu.