Mbahili
Senior Member
- Nov 28, 2016
- 179
- 267
Wakuu a-saamu aleykum...
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina mpango wa kuwekeza kwenye biashara ya bodaboda. Nipeni ushauri, aina gani ya pikipiki ni nzuri, ntapataje dereva na kwa siku ataniletea kiasi gani..
Mtaji mil 6.5
Maeneo Arusha Mjini
Nitangulize shukrani🙏
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina mpango wa kuwekeza kwenye biashara ya bodaboda. Nipeni ushauri, aina gani ya pikipiki ni nzuri, ntapataje dereva na kwa siku ataniletea kiasi gani..
Mtaji mil 6.5
Maeneo Arusha Mjini
Nitangulize shukrani🙏