Biashara ya Bodaboda

Astrum27

Senior Member
Nov 28, 2016
143
215
Wakuu a-saamu aleykum...
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina mpango wa kuwekeza kwenye biashara ya bodaboda. Nipeni ushauri, aina gani ya pikipiki ni nzuri, ntapataje dereva na kwa siku ataniletea kiasi gani..

Mtaji mil 6.5
Maeneo Arusha Mjini

Nitangulize shukrani🙏
 
Nina mwaka mmoja sasa katika hii Biashara.

Mimi Huwa nawapa vijana Pikipiki mpya FEKON Kwa MKATABA Wa miezi 11 au 12. Mahesabu ni 100,000/= Kila baada ya siku 10 yaani Kwa Siku ni hesabu ya 10,000/=.

Vijana wengine sio waaminifu na kweli hamna mtu mkamilifu Kwa asilimia 100% changamoto zipo anaweza kupata dharula, ajali, kuumwa au matatizo binafsi tu. Ambayo Kwa hizo siku 10 anaweza kukuletea 60K au 70K au 80K etc ila Hamna shida Huwa naandika kama deni ambalo baadae Mkataba ukiishi naongea nae Tena mezanii.

Ni Biashara nzuri Kwa maana FEKON Moja inauzwa 2.3M Kwa Faida wewe Utapata sio chini ya 1M Kwa miezi 11 au 1.3M Kwa miezi 12. Ambayo ni sawa na faida ya 100,000/= Kwa Kila mwezi Kwa Pikipiki Moja.

Mwaka Huu nataka nijaribu Kwa kununua Pikipiki USED na nianze kuwapa vijana Pikipiki USED za 1.2M -1.5 Millions Kwa Mikataba ya miezi 7 mpka miezi 8. Ili nitengeneze Faida nyingi Kwa muda mchache na Kwa kutumia Hela ndogo badala ya kununua Pikipiki mpya ya 2.3M.

Changamoto zipo lakini usikate Tamaa, Kila Biashara inachangamoto zake.

Vijana wapo mtaani kwako ni swala la kupeana Mkataba mbele ya mashahidi wa pande zote mbili na Kwa kusainiwa na Mwenyekiti au Mjumbe Wa Kijiji/ mtaa husika.
 
Nina mwaka mmoja sasa katika hii Biashara.

Mimi Huwa nawapa vijana Pikipiki mpya FEKON Kwa MKATABA Wa miezi 11 au 12. Mahesabu ni 100,000/= Kila baada ya siku 10 yaani Kwa Siku ni hesabu ya 10,000/=.

Vijana wengine sio waaminifu na kweli hamna mtu mkamilifu Kwa asilimia 100% changamoto zipo anaweza kupata dharula, ajali, kuumwa au matatizo binafsi tu. Ambayo Kwa hizo siku 10 anaweza kukuletea 60K au 70K au 80K etc ila Hamna shida Huwa naandika kama deni ambalo baadae Mkataba ukiishi naongea nae Tena mezanii.

Ni Biashara nzuri Kwa maana FEKON Moja inauzwa 2.3M Kwa Faida wewe Utapata sio chini ya 1M Kwa miezi 11 au 1.3M Kwa miezi 12. Ambayo ni sawa na faida ya 100,000/= Kwa Kila mwezi Kwa Pikipiki Moja.

Mwaka Huu nataka nijaribu Kwa kununua Pikipiki USED na nianze kuwapa vijana Pikipiki USED za 1.2M -1.5 Millions Kwa Mikataba ya miezi 7 mpka miezi 8. Ili nitengeneze Faida nyingi Kwa muda mchache na Kwa kutumia Hela ndogo badala ya kununua Pikipiki mpya ya 2.3M.

Changamoto zipo lakini usikate Tamaa, Kila Biashara inachangamoto zake.

Vijana wapo mtaani kwako ni swala la kupeana Mkataba mbele ya mashahidi wa pande zote mbili na Kwa kusainiwa na Mwenyekiti au Mjumbe Wa Kijiji/ mtaa husika.
Daaaa!!Kweli ni hatari yaani mtaji wa 2.3 milioni ikuletee faida ya tsh.100,000 kwa mwezi sawa na tsh.3300 kwa siku?!!!! Hapana ni uwekezaji usio na afya kabisa!!! Hiyo faida hata mwenye mtaji wa 50000 anaweza pata mala tatu yake kama amewekeza sehemu nzuri.Hata bajaji ni uwekezaji usio na afya kabisa,
 
Daaaa!!Kweli ni hatari yaani mtaji wa 2.3 milioni ikuletee faida ya tsh.100,000 kwa mwezi sawa na tsh.3300 kwa siku?!!!! Hapana ni uwekezaji usio na afya kabisa!!! Hiyo faida hata mwenye mtaji wa 50000 anaweza pata mala tatu yake kama amewekeza sehemu nzuri.Hata bajaji ni uwekezaji usio na afya kabisa,
Bro Nina Kazi yangu Kila mwezi napata Mshahara.

Hii Biashara ni kuongeza mzunguko wangu Wa Hela, Biashara zipo nyingi ningeamua kuacha kazi na kwenda kufanya hizo Biashara nyingine mtaani kama kufungua duka au kuuza bidhaa tofauti.

Ila nilihitaji Biashara ambayo inaweza kujisimamia yenyewe kipindi Mimi nikiendelea na mishe zangu za Kazini.

Mimi Kwa mwaka mmoja tu pekee nimefunga Pikipiki zaidi ya 15.

Kwa Pikipiki zangu 15 tu, Kwa Siku napata 150,000/=, Kwa wiki napata 1,050,000/=, kwa mwezi Kwa hizi Pikipiki 15 napata REJESHO La zaidi ya 4,500,000/=. Kwa mahesabu ya haraka Kwa Siku napata Faida ya zaidi ya 45,000/=🟧.

Kipindi napata hizi Hela zote Mimi nipo Ofisini naendelea na mishe zangu na mshahara mwingine nausubiria mwisho Wa Mwezi.
 
Bro Nina Kazi yangu Kila mwezi napata Mshahara.

Hii Biashara ni kuongeza mzunguko wangu Wa Hela, Biashara zipo nyingi ningeamua kuacha kazi na kwenda kufanya hizo Biashara nyingine mtaani kama kufungua duka au kuuza bidhaa tofauti.

Ila nilihitaji Biashara ambayo inaweza kujisimamia yenyewe kipindi Mimi nikiendelea na mishe zangu za Kazini.

Mimi Kwa mwaka mmoja tu pekee nimefunga Pikipiki zaidi ya 15.

Kwa Pikipiki zangu 15 tu, Kwa Siku napata 150,000/= Kwa wiki Moja tu napata 1,050,000/= kwa mwezi mmoja pekee Kwa Pikipiki 15 napata REJESHO La zaidi ya 4,500,000/= Kwa Siku napata Faida ya zaidi ya 45,000/=🟩.

Kipindi napata hizi Hela zote Mimi nipo Ofisini naendelea na mishe zangu na mshahara mwingine nausubiria mwisho Wa Mwezi.
Kama upo kazini hiyo pesa 45k kwa siku inatosha Sana Mkuu
 
Daaaa!!Kweli ni hatari yaani mtaji wa 2.3 milioni ikuletee faida ya tsh.100,000 kwa mwezi sawa na tsh.3300 kwa siku?!!!! Hapana ni uwekezaji usio na afya kabisa!!! Hiyo faida hata mwenye mtaji wa 50000 anaweza pata mala tatu yake kama amewekeza sehemu nzuri.Hata bajaji ni uwekezaji usio na afya kabisa,
mfano Mchoma mahindi anaingiza mpaka 15k per day
 
C nichome mishkaki tu kama mchezaji wa zamani wa yanga nivute 50k as profit daily
Ni Biashara nzuri pia Ukipata hiyo Faida per day.

Biashara zipo nyingi sana za kupata Faida zaidi ya 80K mpka 100K per day lakini hatujachagua kufanya hizo Biashara. Tumewekeza kwenye Biashara ambazo zitatupa Faida mdgo mdogo kipindi tukijipanga kuweka kikubwa zaidi.

Kipindi tukisema Faida ya 3300/= kwa bodaboda Moja ni ndogo wengine wanashindwa kuipata, hyo Hela.

Lakini wengine wakiendelea na shughuli zao za maofisini na huku mtaani wanaingiza Hela (Faida) sio mbaya kwao.
 
Kwa mahesabu ya Bro hapo juu Faida ya Pikipiki Moja ni 3300/= Kwa Pikipiki 15 tu ni Faida ya 49,500/= Kwa Siku Moja tu. Kwa mwezi mzima una faida ya 1,485,000/=.

Cheers
Sasa kweli yaani pikipiki 15 ni sawa na milioni 34.5 unaona faida ya 49,500 kwa siku ni sawa kweli?!!Hapanaaa hiyo kwa hesabu za kibiashara ni hakuna kitu hapo!!
 
Ni Biashara nzuri pia Ukipata hiyo Faida per day.

Biashara zipo nyingi sana za kupata Faida zaidi ya 80K mpka 100K per day lakini hatujachagua kufanya hizo Biashara. Tumewekeza kwenye Biashara ambazo zitatupa Faida mdgo mdogo kipindi tukijipanga kuweka kikubwa zaidi.

Kipindi tukisema Faida ya 3300/= kwa bodaboda Moja ni ndogo wengine wanashindwa kuipata, hyo Hela.

Lakini wengine wakiendelea na shughuli zao za maofisini na huku mtaani wanaingiza Hela (Faida) sio mbaya kwao.
Hatukatai lakini biashara yenye afya nzuri ni ile ambayo faida inawiana na kiasi cha mtaji uliowekwa ili hata kesho biashara ikiyumba kutokana na akiba ya faida uliyonayo unaweza kukusaidia kusimama tena!!!kwa kuzingatia na risk iliyopo kwenye biashara husika.
 
Hatukatai lakini biashara yenye afya nzuri ni ile ambayo faida inawiana na kiasi cha mtaji uliowekwa ili hata kesho biashara ikiyumba kutokana na akiba ya faida uliyonayo unaweza kukusaidia kusimama tena!!!kwa kuzingatia na risk iliyopo kwenye biashara husika.
Sawa bro hebu nisaidie Biashara ya mtaji ya 30M unatakiwa kupata Faida ya kiasi Gani? Na REJESHO La per day unatakiwa kupata kiasi Gani?

Maana hapo Mimi nilianza na mtaji Wa 9M ndio ukafikia hapo kutoka Pikipiki 4 za kuanzia mpka kufika 15.

Hebu nyie watu Wa UCHUMI au BIASHARA mnisaidie hapa Biashara ya 30 millions inatakiwa kuingiza kiasi/ Faida gani per day?
 
Ushauri wangu kwako ukifanikiwa kununua hizo pikipiki usije kujaribu kutoa kwa mkataba maana baada ya mkataba kuisha hiyo pikipiki inakuwa sio mali yako tena.
Nunua pikipiki mpe kijana awe anakuletea pesa kila siku kama ikatokea akishindwa makubaliano unachukua pikipiki yako.

Ipo hivi ukimpa mtu pikipiki kwa mkataba, kwa siku anatakiwa awe anakuletea elfu 10 na kwa kawaida mkataba huwa ni miezi 13.
Pikipiki mpya unanunua kwa mil 2.8,kwa siku unaletewa elfu 10.
Elfu 10000*30=300,000.
300,000*13=3,900,000
3,900,000-2,800,000=1,100,000

Faida yako kwa miezi 13 ni mil 1.1
Ina maana kwa mwezi unaingiza 84,615/=
Kwa siku unaingiza elfu 2,820/=
Na hapo pikipiki inakuwa sio yako tena.
Unatoa mil 2.8 ili upate faida ya 2,820 kwa siku??? Nakushauri kimbia.
Wengi wanofanya hii biashara ni wavivu na wana upeo mdogo kufikiri.

NB:nunua pikipiki ila usitoe kwa mkataba, tafuta kijana awe anakuletea pesa kila siku akishindwa unachukua chombo yako
 
Ushauri wangu kwako ukifanikiwa kununua hizo pikipiki usije kujaribu kutoa kwa mkataba maana baada ya mkataba kuisha hiyo pikipiki inakuwa sio mali yako tena.
Nunua pikipiki mpe kijana awe anakuletea pesa kila siku kama ikatokea akishindwa makubaliano unachukua pikipiki yako.

Ipo hivi ukimpa mtu pikipiki kwa mkataba, kwa siku anatakiwa awe anakuletea elfu 10 na kwa kawaida mkataba huwa ni miezi 13.
Pikipiki mpya unanunua kwa mil 2.8,kwa siku unaletewa elfu 10.
Elfu 10000*30=300,000.
300,000*13=3,900,000
3,900,000-2,800,000=1,100,000

Faida yako kwa miezi 13 ni mil 1.1
Ina maana kwa mwezi unaingiza 84,615/=
Kwa siku unaingiza elfu 2,820/=
Na hapo pikipiki inakuwa sio yako tena.
Unatoa mil 2.8 ili upate faida ya 2,820 kwa siku??? Nakushauri kimbia.
Wengi wanofanya hii biashara ni wavivu na wana upeo mdogo kufikiri.

NB:nunua pikipiki ila usitoe kwa mkataba, tafuta kijana awe anakuletea pesa kila siku akishindwa unachukua chombo yako
Jiandae Kwa Hela za service za Kila mara, maana bodaboda anajua hiyo Pikipiki sio ya kwake na hawezi kuitunza Kwa umakini.

Atahakikisha anabeba chchote kile hata kama ni tofali, chuma etc Ili tu akuletee hesabu yako na Hapo Pikipiki haimalizi mwaka imechakaa na umetumia Marejesho kurekebisha Pikipiki yako.
 
Unaenda Kwa Mjumbe au Mwenyekiti wa anayepewa Pikipiki ya Mkataba (Makazi yake rasmi) ni lazima wao wamtambue na Kisha ndio waweke Saini ya Mkataba na mashahidi wake wakiwepo.
Mjumbe wa kwao Yombo Relini kasema dereva boda anamjua lakini mimi hanitambui.

Akashauri tufuate taratibu za kawaida za mikataba, ambazo zinaweza kuwa na mashahidi wa pande mbili lakini sio wajumbe wa mitaani na Wenyeviti wa vijiji au viongozi wengine wa serikali.

Serikali haihusiki na kusaini mikataba binafsi ya raia, kadai mjumbe.
 
Back
Top Bottom