Bro Nina Kazi yangu Kila mwezi napata Mshahara.
Hii Biashara ni kuongeza mzunguko wangu Wa Hela, Biashara zipo nyingi ningeamua kuacha kazi na kwenda kufanya hizo Biashara nyingine mtaani kama kufungua duka au kuuza bidhaa tofauti.
Ila nilihitaji Biashara ambayo inaweza kujisimamia yenyewe kipindi Mimi nikiendelea na mishe zangu za Kazini.
Mimi Kwa mwaka mmoja tu pekee nimefunga Pikipiki zaidi ya 15.
Kwa Pikipiki zangu 15 tu, Kwa Siku napata 150,000/=, Kwa wiki napata 1,050,000/=, kwa mwezi Kwa hizi Pikipiki 15 napata REJESHO La zaidi ya 4,500,000/=. Kwa mahesabu ya haraka Kwa Siku napata Faida ya zaidi ya 45,000/=🟧.
Kipindi napata hizi Hela zote Mimi nipo Ofisini naendelea na mishe zangu na mshahara mwingine nausubiria mwisho Wa Mwezi.