youngkato
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,638
- 3,641
Elewa sentensi. Usitegemee wapita njia kwenye biashara yako. JiongezeKwani biashara nyingine zinategemea niniš
Elewa sentensi. Usitegemee wapita njia kwenye biashara yako. JiongezeKwani biashara nyingine zinategemea niniš
Boss hasira za nini? Kipi kimekukera sana kwenye hiyo kauli tajiri?Basi wewe ni mpuuzi au umefungua uzi kutuchora. Achana na biashara wekeza zaidi kwenye hela za bia.
Hii naipambania sana boss,naimani mambo yatakaa sawa. Huwa naacha mtu dukani mimi naingia field kutafuta wateja na naona inasaidia,nitajitahidi kuongeza nguvuElewa sentensi. Usitegemee wapita njia kwenye biashara yako. Jiongeze
Nguvu na kutokukata tamaa nivyamsingi sana hasa kwenye hizi biashara ndogo mpyaproSame! Hakuna nachofanya hapa kuishi ni lazima ila cha moto!
Profit margin ya item moja moja mkuu siyo kubwa sana.Iyo ni biashara gani mkuu.. Kwa unit 350 ilitakiwa uwe na faida isiyopugua million 30
Biashara inayotegemea wapita njia lazima ikunyooshe, unless unauza mahitaji muhimu ya binadamu.
Hatari wapita njia jau utafirisika mapema sema marketing mtandaoni nako jau gharama na wateja waoga heri Kusaka wateja maofisini nauchukue bamba zaoElewa sentensi. Usitegemee wapita njia kwenye biashara yako. Jiongeze
šUngeitaja hiyo biashara yenyew ili tukushauri vzuri
Inawezekana ukawa unauza kofia za jeshi huwez pata wateja
DodomaUnazu
Unazungukaga minada ya wapi?
Ok jaribu na kusini mwezi wa 11 huuDodoma
Elewa sentensi. Usitegemee wapita njia kwenye biashara yako. Jiongeze
Sawa ngoja nijeOk jaribu na kusini mwezi wa 11 huu
Ratiba Ikoje Huko kusiniOk jaribu na kusini mwezi wa 11 huu
Mda mwingne mzunguko wa pesa unakua ni mdogo ni suala la kawaida cha msingi ni kumaintain apo apo ulipo usiwaze wala usikubari kushuka wala kupanda jiraidi tu umentain biashara yako zen mambo yakikaa sawa bas utaendelea pale umeishia
Kuna friend wangu ni mchungaji ananiambia waumini wake wanamletea pesa wakiomba hawaombee na awatie baraka ktk biashara zao ā sasa mchungaji ananiambia saiv hali ni ngumu rod pesa akuna na ata nikiwaambia waumini hawanielewi bas mimi nakula pesa zao tu naweka mkono najua kbsa akuna kitu
Mbona wenzetu wanapata hela sana halafu sisi wengine hali ngumuMda mwingne mzunguko wa pesa unakua ni mdogo ni suala la kawaida cha msingi ni kumaintain apo apo ulipo usiwaze wala usikubari kushuka wala kupanda jiraidi tu umentain biashara yako zen mambo yakikaa sawa bas utaendelea pale umeishia
Kuna friend wangu ni mchungaji ananiambia waumini wake wanamletea pesa wakiomba hawaombee na awatie baraka ktk biashara zao ā sasa mchungaji ananiambia saiv hali ni ngumu rod pesa akuna na ata nikiwaambia waumini hawanielewi bas mimi nakula pesa zao tu naweka mkono najua kbsa akuna kitu apa
Ni kweli ndugu yangu.Mda mwingne mzunguko wa pesa unakua ni mdogo ni suala la kawaida cha msingi ni kumaintain apo apo ulipo usiwaze wala usikubari kushuka wala kupanda jiraidi tu umentain biashara yako zen mambo yakikaa sawa bas utaendelea pale umeishia
Kuna friend wangu ni mchungaji ananiambia waumini wake wanamletea pesa wakiomba hawaombee na awatie baraka ktk biashara zao ā sasa mchungaji ananiambia saiv hali ni ngumu rod pesa akuna na ata nikiwaambia waumini hawanielewi bas mimi nakula pesa zao tu naweka mkono najua kbsa akuna kitu apa
Ipo minada ya mwezi ipo ya kila wiki wewe tu kwa kuanzia fika masasi na Kuna wengn wananziaga kilwa road wanaingia mpaka kusiniRatiba Ikoje Huko kusini
Minada ya kila siku ipo yaani mnaenda kila sikuIpo minada ya mwezi ipo ya kila wiki wewe tu kwa kuanzia fika masasi na Kuna wengn wananziaga kilwa road wanaingia mpaka kusini