Biashara ni ngumu jamani!

Biashara ni ngumu jamani!

Kuna biashara nyingine saiz zipo mikoani ata kwa jumla watu hawafuati dar, mf. Mzuri mwanza! Yani sio kama zamani.. baadhi ya biashara tu ndio watu wataagiza lkn nyingi watu wanafanya bila kutegemea dar
Hapa sawa bei saw na dar au juu
 
😛😛😛 ndiyo kama minadani vijijini Dar viatu maduka mtaa mzima mnavyo
Ndio vipo! Hebu toka kidogo dar uchangamshe akili! Sasa watu wa huku wasipochangamka wataishi vipi? Maana wafanyabbiashara ni wengi kuliko waajirirwa!
 
Hapa sawa bei saw na dar au juu
Bei nyingi ziko sawa inategemea na biashara kipenzi! Mfano biashara ya nafaka, bidhaa za kucha, pochi na viatu, mafuta ya ngozi na viunga vyake😛 Sasa mfano nikutolee kwenye kiatu, kiatu dar kinauzwa jumla elfu30, mkoani jumla elfu 35, au lets say vya bei ya chini kinauzwa elfu 5, unakuta mkoani 5,500 au 6000 utaacha kununua huku unaagize dar? Na hata kama ni vya biashara kama una mtaji mdogo wa kununua pair 10 au 20 ukaanze biashara huwezi kuagiza Dar nakwambia! Especially kitu umekiona kwenye simu au mitandaoni kikifika unashtuka mwili na roho😅
 
Ndio vipo! Hebu toka kidogo dar uchangamshe akili! Sasa watu wa huku wasipochangamka wataishi vipi? Maana wafanyabbiashara ni wengi kuliko waajirirwa!
Hatari nipo dodoma nilienda minadani I see watu wanapambana ila pagumu watu wanapenda bidhaa kitonga
 
Hatari nipo dodoma nilienda minadani I see watu wanapambana ila pagumu watu wanapenda bidhaa kitonga
Basi mi nilisikia dodoma ndio kuna ela vitu viko juu! Acha sie tulozoea maisha ya chini tukomae na jiji letu😃
 
Hasa kama mtu unasimamia biashara Mwenyewe dukani hela ya kula na matumizi binafsi utatoa Wapi me hela imenikata vibaya nina mwaka faida ndogo ns nategemea Duks tu
Hilo ni kosa kubwa ulifanya biashara huwa ina kipindi cha kusubiria hadi kuja kuwa imara.
Inatakiwa kwa mfano kama ulikuwa ni mfanyakazi mahali usiache kazi ghafla ili uwe mfanyabiashara inabidi ufungue biashara huku unaendelea na kazi mpaka pale biashara itakapopata jina.
Au kama umeachishwa kazi na ukapewa kiinua mgongo labda tufanye umepata milioni 20 basi kwenye biashara anza na milioni 8 au 10 tu zingine zinazobaki ni akiba yako ya dharula na kujikimu kwa miezi kadhaa
 
Hii namba 4 sasa ndugu na majirani kutegemea kukopwa no kuchelewa kulipwa,
Hapana usimuonee aibu mtu maana hiyo biashara ndio roho yako wachane laivu kwamba biashara ni changa unahudumia kwa cash tu.
Kama una moyo wa huruma huruma biashara haikufai
 
Back
Top Bottom