Jitu la-Mtumba
Senior Member
- Mar 20, 2025
- 151
- 349
Habarini wana jukwaa,najua ni usiku wengine tupo tunakunywa mbili tatu na huku kukiwa na hali ya hewa murua sana nyanda za juu kusini kama mjuavyo.
Siyo kila anayekesha bar anasherekea m, wengine tunatumia muda kuwaza jinsi mambo yanavyokuwa magumu kwenye mitikasi yetu.
Biashara ngumu jamani!, au hapa nlipo mzunguko wa hela ndiyo mdogo,mbona watu wanapesa sana huku lakini.. Watu mkitoka Chunya kwani hela mnazipeleka wapi mpaka zipitize huu mji wetu?🙂
Anyway,point yangu imekuwa mbali,lakini naomba unipe moyo wewe uliyefanikiwa kwenye biashara yako,ilikuchukua muda gani mpaka ikaanza kukuingizia faida? Naona yangu hii inaenda kumaliza zaidi ya miezi mi4 nikipiga operational costs bado sioni faida. Nliifungua kwenye eneo ambalo linahitaji promosion sana watu kupafahamu,lakini naamini watu huwa wanafuata huduma na kwangu watapafahamu,lakini itachukua muda gani?😐😐😐
Watu wa Mbeya tumieni hela jamani mnaweza nilenga namimi bila kujua.
NOTE: sitaongelea ni biashara ya aina gani,wewe toa ushauri wako kwa general experience yako tu ita cross-cut pote.
Haya ngoja nirudi kwa wife kama ntafunguliwa mlango🏃🏃🏃🏃
Siyo kila anayekesha bar anasherekea m, wengine tunatumia muda kuwaza jinsi mambo yanavyokuwa magumu kwenye mitikasi yetu.
Biashara ngumu jamani!, au hapa nlipo mzunguko wa hela ndiyo mdogo,mbona watu wanapesa sana huku lakini.. Watu mkitoka Chunya kwani hela mnazipeleka wapi mpaka zipitize huu mji wetu?🙂
Anyway,point yangu imekuwa mbali,lakini naomba unipe moyo wewe uliyefanikiwa kwenye biashara yako,ilikuchukua muda gani mpaka ikaanza kukuingizia faida? Naona yangu hii inaenda kumaliza zaidi ya miezi mi4 nikipiga operational costs bado sioni faida. Nliifungua kwenye eneo ambalo linahitaji promosion sana watu kupafahamu,lakini naamini watu huwa wanafuata huduma na kwangu watapafahamu,lakini itachukua muda gani?😐😐😐
Watu wa Mbeya tumieni hela jamani mnaweza nilenga namimi bila kujua.
NOTE: sitaongelea ni biashara ya aina gani,wewe toa ushauri wako kwa general experience yako tu ita cross-cut pote.
Haya ngoja nirudi kwa wife kama ntafunguliwa mlango🏃🏃🏃🏃