Biashara na Kilimo ni Rahisi Ukiwa Unasimuliwa

Biashara na Kilimo ni Rahisi Ukiwa Unasimuliwa

Wakenya wamebadili upepo wa soko la wakulima wa mahindi baada ya kuamua kununua mahindi nchini Zambia. Je, ni baada ya zile taarifa kuwa mahindi yanauzwa shambani kabla hayajakauka vizuri na kusababisha (aflatoxins) sumu kuvu?
Serikali inaingilia sana wakulima wa mahindi wanaouza nje nasikia, mara wakataze exports, kodi zisizoeleweka, rushwa etc wakenya wameona isiwe tabu
 
Biashara na kilimo ni vipawa au vipaji kama ilivyo kucheza Mpira au kuimba Muzik.


Hata muziki una Hela ila sio Kila mtu anaweza kuwa mwanamuziki.


Hakuna sector isiyo na Hela na hakuna sector ni rahisi kupata Hela.

Explore your identity kisha chagua biashara yenye alignment na identify na kipaji chako Kisha kuwa na consistency utafanikiwa.

Wengi mtihani unakuja hapo kwenye self exploration and determination ndio maana ukiambiwa kuuza Nguo Kuna lipa unaenda kuuza Nguo.
Thread ifungwe, tukale chips yai na Pepsi baridi......
 
Au mwingine alikuwa bwana shamba au mwalimu anastaafu ananunua Lori au coaster daladala ili aanze biashara ya usafirishaji wakati hajui hata bei ya tairi na hajui hata gari inatumia mafuta kiasi gani kwa kilometa 10 hapo akifeli eti ataanza kumtafuta mchawi

Hii kaka inawakuta sana waalimu hasa wa vijijini. Baada ya miezi 6 linapaki juu ya mawe au mwisho wa siku anauza kwa hasara sana.
 
Ndio inabidi utafute solution yake usiuze kwa mazoea.
Jiulize wao madalali wanatumia mbinu gani kuuza ili na wewe utumie mbinu yako mkutane sokoni

Shida ndio wakulima wengi sio wasomi na ukichangia na umasikini anaona bora auze haraka apate hela akalipe madeni kuepusha kupitia process ndefu za kutafuta masoko bora.
 
Wakenya wamebadili upepo wa soko la wakulima wa mahindi baada ya kuamua kununua mahindi nchini Zambia. Je, ni baada ya zile taarifa kuwa mahindi yanauzwa shambani kabla hayajakauka vizuri na kusababisha (aflatoxins) sumu kuvu?

Kule Zambia serikali ya Kenya imekodi eneo kubwa sana inalima mahindi kisasa pamoja pia wakulima binafsi wa Kenya.

Aflotoxins ni sumu mbaya sana. Kwani wamekimbia kununua mahindi kwetu. ?

Nimesikia wakulima wa mahindi wakilalamikia kukosa wanununuzi mfano Katavi.
 
Serikali inaingilia sana wakulima wa mahindi wanaouza nje nasikia, mara wakataze exports, kodi zisizoeleweka, rushwa etc wakenya wameona isiwe tabu

Itakuwa sababu mkuu. Wakati wa kulima wao wapo mbali ila ukishavuna tuu wanakuja na mashart kibao. Nakumbuka Lissu alikuwa anaelezea vizuri sana kipindi kile kabla hawaja mkamata.
 
Yeah sababu ni kwamba akishanunua tu gari atakiwa amegomboka na gari itakuwa inamletea pesa kila siku akiwa amelala nyumbani kumbe hajui ni mchakato mrefu

Na kuna watu ni wataalam wa kuwalia radar hao wataafu kuwashawishi kununua hayo magari mara tractor na mengine mengi.
 
Back
Top Bottom