Biashara na Kilimo ni Rahisi Ukiwa Unasimuliwa

Biashara na Kilimo ni Rahisi Ukiwa Unasimuliwa

So kwa wale wanaojitafuta sio njia nzuri ya kujikwamua kwa sababu kwanza mtaji ni mdogo na wanategemea faida ila aweze kuendelea tena.
Kilimo siwezi kusema ni moja kwa moja kwamba ni njia sahihi au si-sahihi ya kuanza nayo lakini unaweza kujaribu kwa kuanza na hatua ndogo ndogo.

Lakini pia kwenye kilimo pia inategemea na aina ya zao pia unalotaka kulima mfano mahindi, Michele na mazao ambayo hayaozi haya unaweza lima hata kama soko linaweza kuwa gumu unaweza hifadhi na kuuza msimu ujao.

Lakini mazao kama nyanya, vitunguu, viazi haya ni mazao risk sana yanahitaji uwe na link kubwa ya market mana yakikaa zaidi ya week ni loss tayari.

Ila biashara naweza nkaku-recommend zaidi kwasababu control inakua kwako kuhusu budget nzima ya uwekezaji wako kwasababu biashara haina limit kuhusu mtaji wakuanzia ila kilimo kinahitaji budget ambayo ni fixed, kwahiyo biashara ni better mana risk inaweza kuwa controlled ukilinganisha na kilimo mkuu wangu.
 
Biashara na kilimo ni vipawa au vipaji kama ilivyo kucheza Mpira au kuimba Muzik.


Hata muziki una Hela ila sio Kila mtu anaweza kuwa mwanamuziki.


Hakuna sector isiyo na Hela na hakuna sector ni rahisi kupata Hela.

Explore your identity kisha chagua biashara yenye alignment na identify na kipaji chako Kisha kuwa na consistency utafanikiwa.

Wengi mtihani unakuja hapo kwenye self exploration and determination ndio maana ukiambiwa kuuza Nguo Kuna lipa unaenda kuuza Nguo.
Umemaliza kila kitu.
Shida wengi wanapenda kudandia biashara za watu wengine kisa kamuona fulani kafanikiwa bila kujipima uwezo wake na kipaji chake na hapo ndipo biashara inapoonekana ngumu kumbe ugumu unakuja kwa sababu kanuni zake hazifuatwi.
Hakuna biashara nzuri wala mbaya ukifuata kanuni zake na kujipima uwezo/kipaji chako.
 
Umemaliza kila kitu.
Shida wengi wanapenda kudandia biashara za watu wengine kisa kamuona fulani kafanikiwa bila kujipima uwezo wake na kipaji chake na hapo ndipo biashara inapoonekana ngumu kumbe ugumu unakuja kwa sababu kanuni zake hazifuatwi.
Hakuna biashara nzuri wala mbaya ukifuata kanuni zake na kujipima uwezo/kipaji chako.
Mfano mtu alikuwa Dr,amestaafu anataka kufungua duka la vifaa vya ujenzi,SI afungue dispensary,duka la madawa yenye fani yake!
 
4. Masoko na namna ya kuuza bila mtu aitwaye dalali. Huyu ni adui namba moja unatakiwa kujua mbinu zao wanazo tumia kukulaghai.

Kweli mkuu mfano wakulima wa Parachichi Njombe wanaonufaika zaidi ni wale wanopeleka nje ya nchi hasa Wakenya ambao wananunua kwao. Hivyo hivyo kwa Korosho n.k

Madali wanalangua sana wakulima.
 
Kilimo kina faida ila sio tz

Mfano mtu alikuwa Dr,amestaafu anataka kufungua duka la vifaa vya ujenzi,SI afungue dispensary,duka la madawa yenye fani yake!
Au mwingine alikuwa bwana shamba au mwalimu anastaafu ananunua Lori au coaster daladala ili aanze biashara ya usafirishaji wakati hajui hata bei ya tairi na hajui hata gari inatumia mafuta kiasi gani kwa kilometa 10 hapo akifeli eti ataanza kumtafuta mchawi
 
Au mwingine alikuwa bwana shamba au mwalimu anastaafu ananunua Lori au coaster daladala ili aanze biashara ya usafirishaji wakati hajui hata bei ya tairi na hajui hata gari inatumia mafuta kiasi gani kwa kilometa 10 hapo akifeli eti ataanza kumtafuta mchawi
Sahihi mafanikio ni pamoja na information, huwezi anzisha kitu bila kua na full information ndo unaskia kaanzisha biashara imekufa.

Wingi wa taarifa ndio urahisi wa jambo.
 
Kweli mkuu mfano wakulima wa Parachichi Njombe wanaonufaika zaidi ni wale wanopeleka nje ya nchi hasa Wakenya ambao wananunua kwao. Hivyo hivyo kwa Korosho n.k

Madali wanalangua sana wakulima.
Ndio inabidi utafute solution yake usiuze kwa mazoea.
Jiulize wao madalali wanatumia mbinu gani kuuza ili na wewe utumie mbinu yako mkutane sokoni
 
Kweli mkuu mfano wakulima wa Parachichi Njombe wanaonufaika zaidi ni wale wanopeleka nje ya nchi hasa Wakenya ambao wananunua kwao. Hivyo hivyo kwa Korosho n.k

Madali wanalangua sana wakulima.
Wakenya wamebadili upepo wa soko la wakulima wa mahindi baada ya kuamua kununua mahindi nchini Zambia. Je, ni baada ya zile taarifa kuwa mahindi yanauzwa shambani kabla hayajakauka vizuri na kusababisha (aflatoxins) sumu kuvu?
 
Hii biashara urahisi wake ni kuwa vitu vitatu
1. Shamba lenye maji ya umwagiliaji
2. Zana za kisasa za kilimo
3. Mtaji kiasi
Ukitegemea mvua utakuwa unafanya betting
Exactly, uzoefu, mtaji usitegemee mvua (kilimo Cha umwagiliaji) Kuna ndugu yangu alianza zamani sana Sasa ivi ni bilionea.
 
Back
Top Bottom